Yakanusha kuwa haikupanga kumuua Dr. Ulimboka na kwamaba kinachotangazwa na vyombo vya habari ni vipande vya taarifa visvyo na ukweli wowote na wananchi wapuuze.
TISS Mmeamua kuuza utumbo kwanini mnaogopa manzii?
Tulimteka Ulimboka,..... aaahh hatukumteka!!.......Ni sisi tulimteka........Haiwezekani, hatukumteka...,Unajua tulimteka ,....Nooo, hatukumteka, hatukumteka tunakanusha...eeehh tunahusika....hatuhusiki wananchi puuzeni,....