wanasema watazidi kuunga nguvu na kujiimarisha?ili...........................................
Yakanusha kuwa haikupanga kumuua Dr. Ulimboka na kwamaba kinachotangazwa na vyombo vya habari ni vipande vya taarifa visvyo na ukweli wowote na wananchi wapuuze.
wamekana taarifa iliyoandikwa na mwanahalisi juu ya ushiriki wa TISS ktk kumteka na hatimaye kumtesa DR. Ulimboka
source;chanel 10
wameshikwa pabaya sana hawa watu....inabidi watumie nguvu kubwa sana kujisafisha......
Kweli nakubaliana kwa idara hii nyeti kadiri ya uchunguzi ulioanikwa pale kwa Mwanahalisi wamefuliwa nguo na kubaki uchi kabisa mbele ya mkwe wao (wananchi). Mbaya zaidi kudadafuliwa hata taswira kamili ya watu najina, walikozaliwa, umri na nick names, namba zao za simu zilivyokuwa zinatumika kwa kuwasiliana na watu mbalimbali, ni aibu kwani hawajakanusha uchunguzi huo ila ni jibu la juu juu tu bila kujibu kuhusu wahusikam majina na namba za simu.
Yakanusha kuwa haikupanga kumuua Dr. Ulimboka na kwamaba kinachotangazwa na vyombo vya habari ni vipande vya taarifa visvyo na ukweli wowote na wananchi wapuuze.
Tuwapuuze waandishi ila sio ukweli,sasa tutawapuuza kwa lipi? kwa tunakiamini ni ukweli,taarifa imewaumbua kwasababu iko detailed vya kutosha !
Je, kuna viongozi waliopo madarakani kwa sasa ambao ni wana Uzalendo wa kweli?