Idara ya Usalama wa Taifa yakanusha tuhuma

Idara ya Usalama wa Taifa yakanusha tuhuma

Status
Not open for further replies.
yaani sijui kama haya maoni yetu wanayaona,kwa sababu hata wafanyeje hatutokaa tukaamini kuwa TISS haihusiki kwa hili labda kweli waformat vichwa vyetu kama member mmoja alivyosuggest hapo juu!!!!
 
TISS - wananchi puuzieni tuhuma zote zinazotolewa na gazet moja la kila wiki (?mwanahalisi) juu ya kuhusika kwa usalama wa taifa kumteka dr uli,ni uzushi na hazina ukweli wowote after all tayari polisi wanaendelea na uchunguzi juu ya tukio hilo.source:taarifa channel 10...
MYTAKE: kama taarifa si za ukweli kwa nini wasianze wao kuzipuuza,wanajitetea nini?...mwisho wa ubaya ni aibu!
 
Nasi tunawapuuza ninyi Usalama wa Taifa, kwani ndio mliohusika . kama mnakanusha nani sasa anahusika mngetuambia basi tungepuuza vyombo vya habari lakini kamwe hatuwezi kuupuuza ukweli.
Hahahahahahahahahahaha..............................unajua hawa wanawafanya watu......mazuzu
 
Yakanusha kuwa haikupanga kumuua Dr. Ulimboka na kwamaba kinachotangazwa na vyombo vya habari ni vipande vya taarifa visvyo na ukweli wowote na wananchi wapuuze. (source channel ten)

ITV wameipotezea coz is not a news.wanachafua hali ya hewa then wanatafuta mtu wa kumsingizia.
 
Hawa nao wamekuwa wa MATAMKO, good for them,ni wanasiasa nao
 
Mimi kwa kuisoma mwanahalisi hakuna mtu yeyote awezae kunifanya nisiamini ni wao kubenea alivyochambua mbona kazi rahisi sana kwa polisi.ukimpa ocampo huo ushahidi wa simu anafungwa mtu ndani ya siku tatu tuu.
 
TISS - wananchi puuzieni tuhuma zote zinazotolewa na gazet moja la kila wiki (?mwanahalisi) juu ya kuhusika kwa usalama wa taifa kumteka dr uli,ni uzushi na hazina ukweli wowote after all tayari polisi wanaendelea na uchunguzi juu ya tukio hilo.source:taarifa channel 10...
MYTAKE: kama taarifa si za ukweli kwa nini wasianze wao kuzipuuza,wanajitetea nini?...mwisho wa ubaya ni aibu!
AKUPUUZAE MPUUZE,KWAKWELI JANA NILIPOSOMA LILE GAZETI KUBENE ALIJIPANGA,,,,WHETHER NI UKWELI AU UWONGO,ILE HABARI ILIWAMALIZA TISS,wao walale tu,:sleepy:
 
Tamko hili hapa;

AMKO RASMI KUHUSU TUHUMADHIDI YA IDARA YA USALAMA WATAIFA

Katikasiku za hivi karibuni, kumejitokeza taarifa zenye tuhuma kadhaa dhidi ya Idaraya Usalama wa Taifa. Taarifa hizo zimekuwa zikitolewa kwenye vyombo vya habarizikiihusisha Idara hii na matukio ambayo yanaidhalilisha na kuzua maswali mengikwa wananchi. Kati ya tuhuma hizo ni tukio la kutekwa kwa Dr. STEPHEN ULIMBOKA,Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari na madai ya kufanywa kwa mipango yakuwadhuru baadhi ya Viongozi wa Vyama vya Upinzani. Gazeti moja la kila wikilimekuwa likurudia tuhuma hizo mara kwa mara kwa madai kwamba ni habari zauchunguzi na kuihusisha Idara......

Kila mtu angeshangaa kama wangekubari kuwa bwana Ramadhani ni uwt na ingekuwa ni historia nyingine hiyo
 
Mimi kwa kuisoma mwanahalisi hakuna mtu yeyote awezae kunifanya nisiamini ni wao kubenea alivyochambua mbona kazi rahisi sana kwa polisi.ukimpa ocampo huo ushahidi wa simu anafungwa mtu ndani ya siku tatu tuu.
Mwapa,jana mdogo wangu alirudi na lile gazeti,binadsi nimesoma habar moja tu,ya DR ULI sijui ni kwanini naambiwa niipuzie ile habari
 
Uwezo wao kufikiri umefika hapa,elimu yao ni ya kuangalia pia,isiwe tunabishana na watu ambao wana uvivu wa kufikiri na kusoma alama za nyakati.
 
Kuna siku walikubali mauwaji hawa tulizoea wakati wa nyerere na mwinyi walikuwepo kwa maslahi ya taifa lakini sasa wako kwa maslahi ya aliye madarakani umtumikie kafiri utimize mradi wako usalama wa taifa imekuwa kitengo cha maharamia kinachowawinda wadai haki zao
 
Nilitarajia wao kama usalama wa taifa hawakuhusika wangetupatia taarifa kamili. mbona Channel 10 wamelazimishwa kusoma taarifa hiyo bila utaratibu, waache kuhadaa umma, watutajie wanaohusika kama sio wao
 
Ramadhani ighondu alitumwa na jack zoka wa ikulu ili wamtese dr. Uli, mbona mambo yako wazi? Jk ulaniwe mkuu, kwanini usife jk?
 
Kama nyie mliotoa Utumbo huu ndio Usalama wa Taifa wetu, nachelea kusema kwamba hata ile heshima ndogo niliyokuwa nimebakiza juu yenu, IMETOWEKA. Kama na nyie pamoja na Kova kumleta Kichaa na kutaka kutuaminisha kwamba ndiye mhusika wakati mazingira yote yanamtambulisha kwamba ni Chizi, na mnaendelea kumwamini kwamba anaweza kufanya kitu cha maana, basi huko kwenu hakuna mtu!
 
Nasi tunawapuuza ninyi Usalama wa Taifa, kwani ndio mliohusika . kama mnakanusha nani sasa anahusika mngetuambia basi tungepuuza vyombo vya habari lakini kamwe hatuwezi kuupuuza ukweli.
Hahahahahahahahahahaha..............................unajua hawa wanawafanya watu......mazuzu
tena mazuzu kweli
 
Tamko hili hapa;

AMKO RASMI KUHUSU TUHUMADHIDI YA IDARA YA USALAMA WATAIFA

Katikasiku za hivi karibuni, kumejitokeza taarifa zenye tuhuma kadhaa dhidi ya Idaraya Usalama wa Taifa. Taarifa hizo zimekuwa zikitolewa kwenye vyombo vya habarizikiihusisha Idara hii na matukio ambayo yanaidhalilisha na kuzua maswali mengikwa wananchi. Kati ya tuhuma hizo ni tukio la kutekwa kwa Dr. STEPHEN ULIMBOKA,Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari na madai ya kufanywa kwa mipango yakuwadhuru baadhi ya Viongozi wa Vyama vya Upinzani. Gazeti moja la kila wikilimekuwa likurudia tuhuma hizo mara kwa mara kwa madai kwamba ni habari zauchunguzi na kuihusisha Idara......

Too low TISS mnazidi kujipaka matope aiitaji degree kutambua hili.hoja alizozitoa kubenea ni nzito na zinamashiko nyie pamoja na usomi wenu mnakimbilia kusema ni uzushi,na uongo.nilitarajia mpangue hoja kwa hoja lakini mpk hapo mumefulia.Hata baada ya kova kudanganya umma na mch. Gwajima kueleza ukweli bado alijitetea.soon ukweli utakuwa wazi.
 
wameshikwa pabaya sana hawa watu....inabidi watumie nguvu kubwa sana kujisafisha......
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom