Imeongeza kusema kwamba itaendelea kufanya kazi zake kwa weledi na kuwa tukio la kutekwa Dr. Ulimboka linachunguzwa na jeshi la polisi chombo pekee chenye kazi ya kufanya hivyo.
Pia taarifa hizo zinachafua sifa ya IUWT
Eti mnasimamia maslahi ya taifa? Maslahi yapi hayo? kutorosha madini na wanyama pori wangali hai ndio maslahi ya taifa?
Kuchakachua matokeo ya chaguzi mbalimbali kwa lengo la kuwapendelea waume zenu kwenu ndio maslahi ya taifa? Kuteka na kuua viongozi wa taasisi na vyama vyenye msimamo unaotishia maslahi yenu na waume zenu kwenu ndio maslahi ya taifa? Usinitie kichefuchefu Nchi hii haina taasisi yoyote yenye sifa za kuitwa usalama wa taifa. Ni bora mkakaa kimya tu.