Idara ya Usalama wa Taifa yakanusha tuhuma

Idara ya Usalama wa Taifa yakanusha tuhuma

Status
Not open for further replies.
Yakanusha kuwa haikupanga kumuua Dr. Ulimboka na kwamba kinachotangazwa na vyombo vya habari ni vipande vya taarifa visivyo na ukweli wowote na wananchi wapuuze.
Sasa mbona hawamkamati Kubenea kwa kuchochea kisochokuwepo?
 
Na mimi nawafahamu jama kama watatu wa familia moja wote ni form4 failure yaani big zero NDIYO HUWAGA wanaandama na babamwanaasha
Mimi nina shemeji yangu yaani ni darasa la saba na hajasoma chochote ila ni ccm mzuri eti nae ni usalama
wa taifa,siku alinionyesha kitambulisho chake ndipo nikajua kweli hii nchi ni kichwa cha mwendawazimu,kama
huyo nae ni usalama wa taifa.Hivyo hayo wanayoyaongea ndipo ufahamu wa elimu yao ulipoishia na wanjua
watanzania wote ni Elimu Less kama wao.
 
Sisi wananchi tunawapuza nyie usalama wa taifa, na si vinginevyo
 
Mwanahalisi hawamjui yeyote aliyehusika wamekazana kupotosha umma na kutaja taja majina ya watu hovyo wakijifanya wanauhakika na habari zao kumbe kanya boya
 
Tiss, kova, J.K, Punda na serikali yao wamechanganyikiwa wanagongana vichwa hawajui la kufanya.

Suala zima la Ulimboka liko wazi kuliko Open. Serikali inahusika. J. K na huyo Mizengo walishasema serikali yao haihusiki sasa ktk hizo semi za hao wawili Kova na movie yake atapingana na hizo kauli? Haiwezekani. Lazima aseme ndiyoooo serikali haihusiki.

Tiss lazima wafunge mdomo wasubiri Order nyingine kutoka kwa mabwana wao wakubwa ili watekeleze waliloambiwa.

Kubenea ameiweka habari ya Ulimboka vizuri na mimi nakubaliana na Tiss kwamba habari yake iko ktk vipande vipande, sasa ili tupate habari nzima(full picture) TISS mshirikiane na Serikali nendeni MAHAKAMANI kama mlivyozoea mkashitaki hicho chombo cha habari ili Watanzania na dunia nzima tupate maelezo na taarifa kamili kuhusu sakata zima la Dr. Ulimboka. Mashahidi wapo, ushahidi upo, muhusika aliyefanyiwa unyama yuko pale S.A Hospital. Wahini mahakamani.

Hapa kwenye usemi wenu wa 'wananchi puuzeni habari hizo ni za uzushi na uwongo' ni sawa na mtu kwenda shule akajua kusoma na kuandika halafu TISS inakuja inamwambia wewe hujui kusoma wala kuandika subiri nitakuja kukufundisha mimi. Wapi na wapi!

Ukisoma habari nyingi zinazotolewa au zilizokwishatolewa na vyombo vya habari unakuja kuona hapa si J.K, Pinda, Kova, Zoka na serikali lao wataweza kukwepa ICC. Ni suala la muda tu otherwise WAFE kabla muda wao haujafika
 
kubenea anatumia hasira,ana chuki binasfi na tanzania yetu
 
Mwanahalisi ni WANAFIKI NA WAONGO SANA BORA WAANZISHE CHAMA CHA SIASA TUJUE MOJA TU
 
Kwa hali ya Kawaida tu Ukimwagiwa Tindikali huwezi kurudisha uwezo wako wa kufikiri tena kama awali..

Mwanahalisi wasamehewe tu.. Nadhani hawako normal kbs!!
 
tamko fupi lakini lenye maneno mazito.ni vyema mwanahalisi lipelekwe mahakamani likaeleze vizuri na kwa ufasaha
 
1. Nawashauri waende MAHAKAMANI kuvishtaki hivi vyombo vya habari "vinavyounga ugna stori". Wajisafishie mbele ya vyombovya sheria ili haki itendeke!
2. Kwanini idara nyeti hivi "inaruhusu" vipisivya stori vielekezwe kwao kuhusu habari hii?
3.Nawashauri WAKANUSHE kuhusishwa kwao na hivi vipisi vya stori kwakuonesha NI KWA NAMNA GANI hawahusiki kama Taasisi ama watu wao binafsi.
4. Mwisho, kwa kuwa sakata hili ni sehemu ya kazi yao, walete vipande VILIVYO KAMILIKA!
Hapa tualielewa kanusho lao. Otherwise, MPIRA bado uko UPANDE WAO!
 
Mwanahalisi hawamjui yeyote aliyehusika wamekazana kupotosha umma na kutaja taja majina ya watu hovyo wakijifanya wanauhakika na habari zao kumbe kanya boya
Wewe unamjua? tupe basi habari sahihi kama hawa wanapotosha. Uhakika ni upi sasa? Unasema kanyaboya umejuaje? Ukijibu hayo maswali utakuwa gt
A%20S%20cry.gif
 
Usie normal ni ww raisi wa migomo, watu woote tunaujua ukweli isipokuwa ww! Utakuwa ni mc.hawi tuu ww lasihivyo ww rama
 
Kama kweli hawahusiki, iundwe tume huru ya kuchunguza tukio zima, kama tatizo ni gharama, waeleze tutoe michango. wanahofu nini kuunda tume huru??????????????
 

Tiss haina tatizo katika hili, bali tatizo ni uchakavu wa nyaya au kuna nati zilizolegea ndani ya vichwa vya viongozi wao. Hivyo siyo vyema kuilaumu idara nzima kwa upuuzi wa viongozi chakavu, wenye mawazo mgando na wasioenda na wakati. Upuuzi kama huu ndiyo ulipelekeaga KGB ikavunjwa.

Upuuzi wa Tiss

1. Mbali na jaribio la kitoto la kutaka kupata information kutoka kwa ulimboka kwa kum'tocha, hali ya kuwa kuna teknolojia nyepesi ipo mitaani, ya kukamata mawasiliano ya simu, email n.k, inaonyesha udhaifu uliopitiliza wa idara, ama aliyeongoza hiyo operation.

2. ...
Kwa hali hii, tutaibiwa Twiga wote.......!

Kibanga Msese

BRAVO BRAVO.................! This is wt i kol " Thinking Big"

smart......
 
Idara inataka kuwahakikishia wananchi kwamba taarifa hizo ni za UZUSHI NA UONGO ambazo zina nia ya kuharibu jina na sifa ya Idara. Taarifa hizo zimekuwa zikiunganishaunganisha vipande vya taarifa mbalimbali ili kukidhi malengo yaliyokusudiwa na wanaolitumia gazeti hilo. Idara haikuhusika wala haihusiki na matukio yoyote yaliyotajwa katikatuhuma hizo. Hivyo tunawaomba wananchi wazipuuze taarifa hizo.

Hili tamko nimelisoma vizuri tena kwa makini sana, nimegundua;

Aliyeliandika tamko hili ni "mwigulu nchemba" kama umewahi kuona waraka aliouandika mwigulu utagundua uunganishaji wa maneno kama nilivyoonyesha kwa kupigia mstari kwa maneno husika, kwenye red, ni neno rahisi sana mdomoni mwa mwigulu, kingine ni kuwa hili tamko lipo kama ripoti, kanakwamba ananukuliwa muhusika, mlio na macho litizameni hilo.
 
utaona sijui kwa kuwa nawe una chuki hasira na gubu.fikiria outside the box.usitumie kichwa kufuga tu nywele kitumie kufikiria mkuu

ndio hujui na hujui kabisa....nasema hivyo kwa sababu ninaamini hujui kwa nini idara imetoa tamko la kanusho jana na si siku za nyuma... na ninaamini hujui nini kimepelekea tamko hilo la kitoto kutoka na hujui nani ameshinikiza liandikwe hivyo lilivyo andikwa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom