Tiss haina tatizo katika hili, bali tatizo ni uchakavu wa nyaya au kuna nati zilizolegea ndani ya vichwa vya viongozi wao. Hivyo siyo vyema kuilaumu idara nzima kwa upuuzi wa viongozi chakavu, wenye mawazo mgando na wasioenda na wakati. Upuuzi kama huu ndiyo ulipelekeaga KGB ikavunjwa.
Upuuzi wa Tiss
1. Mbali na jaribio la kitoto la kutaka kupata information kutoka kwa ulimboka kwa kum'tocha, hali ya kuwa kuna teknolojia nyepesi ipo mitaani, ya kukamata mawasiliano ya simu, email n.k, inaonyesha udhaifu uliopitiliza wa idara, ama aliyeongoza hiyo operation.
2. ...
Kwa hali hii, tutaibiwa Twiga wote.......!
Kibanga Msese