Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,701
- 6,936
Yakanusha kuwa haikupanga kumuua Dr. Ulimboka na kwamba kinachotangazwa na vyombo vya habari ni vipande vya taarifa visivyo na ukweli wowote na wananchi wapuuze.
Hii idara ni ya ofisi gani?
Yakanusha kuwa haikupanga kumuua Dr. Ulimboka na kwamba kinachotangazwa na vyombo vya habari ni vipande vya taarifa visivyo na ukweli wowote na wananchi wapuuze.
Mwanahalisi ni WANAFIKI NA WAONGO SANA BORA WAANZISHE CHAMA CHA SIASA TUJUE MOJA TU
Sitegemei kuwaona wakikubali ushiriki wao katika sakata hilo!!.
Wangekuwa wamenena vyema kama wangeorodhesha 'sifa zao nzuri' ili kuepuka kuchafuliwa jina lao. Tatizo sifa za usalama wa taifa ni nzuri machoni mwao na watawala lakini ni mbaya na za kutisha machoni pa wananchi. Naamini sifa nzuri ya mwizi ni kuiba sana bila kushikwa, sifa nzuri ya mwanafunzi ni kufaulu mitihani yake kwa kiwango cha juu sana; sasa kati ya hao wawili na yuko tayari kutangaza sifa zake? Tafakari!
Kanusho la TISS limetolewa na Ikulu! Hilo moja. Lakini kubwa idara hii (TISS) na wakubwa serikalini wanatakiwa wakae chini na watumie busara ili kurekebisha mambo. Watu wanishi kwa watu wasiwasi na imani kwa idara hii nyeti imeshuka sana kama sio kutoweka. Idadi ya matukio tata yanayogusa hii idara yanazidi kuongezeka siku hadi siku. Dunia haitakaa kimya milele.
Tanzania inaishi kwa kibakuli na kama tulivyoona kwenye saga ya bendera na meli za Iran hawa watu wa magharibi wanaweza kugeuka nyuzi 360 within seconds. Kagame pamoja na kuwa kipenzi cha nchi za magharibi, sasa hivi yuko kwenye misukusuko toka huko huko magharibi. Tanzania tukiendelea na hizi comedy tusishange kuona watu wanakwenda the Hague.
Badala ya kujitetea kwa maneno matupu kwanini serikali isiunde tume huru? Ni kitu gani kinachowafanya wakatae tume huru kuangalia mkasa wa Dr Ulimboka?
wanasema watazidi kuunga nguvu na kujiimarisha?ili...........................................
HEBU TOENI HUU UCHAFU...HII SIO FORUM YA WATOTO WADOGO....elezeni yakwenu ili tukipima na ya kwenye vyombo vya habari tuamini uzushi....Yakanusha kuwa haikupanga kumuua Dr. Ulimboka na kwamba kinachotangazwa na vyombo vya habari ni vipande vya taarifa visivyo na ukweli wowote na wananchi wapuuze.