Kwani hao usalama wa taifa wana watoto? Najua kwa umli wa zoka anao, kwani kulikuwa hamna mbinu mbadala kupata taarifa?
Hao vijana wahusika wanaweza wakawa hawana watoto, hivi hawana akiri kiasi hicho, suala liko hot wanamteka mtu?
nilishawahi chat na hao TISS, wengiwao ni vilaaaza! Hawana vichwa hao, they think wako supperior sana! Hawajui kazi yao
Zoka analo tu, kama sio leo hatakesho! How can u supervise uharamia wa kizamani kama huo? Mambo ya 1800
Kwanza niwafundishe hawa vilaza TISS, kutesa kunatoa taarifa 23%, nusukaputi 98% kwa nn hawakutumia plan b wawe na 98%?
Au lengo lao lilikuwa kueliminate? Bado timing ni ya mwehu tuu ndio anaweza kufanya katika muda ule! Kweli ni vilaza!
Sio kuwa wanaharaka, ni vilaza! Hata panctuation hovyo, kama huyo ndio bosi kaandika je wa chini yake yukoje?