Idara ya maji Mbeya acheni dharau kwa wateja

Idara ya maji Mbeya acheni dharau kwa wateja

Mwanongwa

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2023
Posts
878
Reaction score
814
Hivi ninyi Idara ya maji mkoa wa Mbeya mnashida gani? Haiwezekani tumelipia maji toka Jumatatu mpaka leo hii hamtaki kurejesha maji .

Mnapigiwa simu mnaahidi kutuma mafundi lakini mafundi wenu hawaji, mnategemea watu wanaishi je.kama kuna shida nyingine tujuzeni sababu malipo yote tayari tumefanya.
 
Back
Top Bottom