Idadi ya wadada inaongezeka kwa kasi JF

Idadi ya wadada inaongezeka kwa kasi JF

My first time in jf nlijua viol ni mwanamke sema tu kaweka avatar ya mwanaume kuwahadaa watu!!but as days goes on nkagundua ni mwanamboka...usimrecognize mtu kwa id humu...

mkuu Viol unaitwa hapa na aggy
 
Last edited by a moderator:
Huyu atoto huyu.... labda nipate kibali cha Kaizer

Hahahaaaaa!! Kibali nakupa mimi mwenyewe wala haina haja ya kumuomba Kaizer, we sema mie huwezi kunikagua.

Ni mimi hapa atoto, kwa maana umeniita.

Hebu kuja pande ya PM chapchap sana.

atoto na Asprin mnaweza kuniambia mnampango gani kwa haya maongezi yenu? Nipo kwenye vikao vya kukata watu huku msitake niwakate na nyie.:A S wink:
 
Last edited by a moderator:
Research ya jamaa inadai kuwa idadi ya wa dada ni ile ile ila mkimegwa na member humu mnarudi na ID tofauti...nimewa QUOTE mtetee jahazi la jamii yenu
kwa kuwa mawazo yake yamempelekea kuwaza hayo... hata tukijitetea haita kuwa na msaada
 
My first time in jf nlijua viol ni mwanamke sema tu kaweka avatar ya mwanaume kuwahadaa watu!!but as days goes on nkagundua ni mwanamboka...usimrecognize mtu kwa id humu...
mi dume la mbegu,halafu jina la id mbona haijakaa kama la kike
 
mkuu Viol unaitwa hapa na aggy
Huyu aggy ngoja nimfuate pm maana kuna aggy moja anajiita aggy jay nilisoma na a-level na alikuwa girlfriend wangu tulipomaliza tukapotezana,usikute huu uzi ni mwuujiza wa kukutana
 
Last edited by a moderator:
Jukwaa hili, recently naona number ya ID za jinsia ya Ke ikiongezeka na uchangiaji wao kuwa mkubwa. Na hata wasaka wachumba hapo Love connect, wengi ni wadada kwa sasa.

Previous wachangiaji wengi hapa MMU walikuwa wanaume. Hongereni wadada kwa kulinogesha jukwaa na kuwafanya baadhi ya Me kutobanduka hapa..

Mkuu umenikumbusha mbali..enzi hizo disco za majumbani wakati wa sherehe, mademu walikuwa ndio mpango mzima. Ubora au kufanikiwa kwa disco ilitegemea wingi wa totos lol:A S wink:
 
Huyu aggy ngoja nimfuate pm maana kuna aggy moja anajiita aggy jay nilisoma na a-level na alikuwa girlfriend wangu tulipomaliza tukapotezana,usikute huu uzi ni mwuujiza wa kukutana

sawa usiache kuleta mrejesho..
 
Huyu aggy ngoja nimfuate pm maana kuna aggy moja anajiita aggy jay nilisoma na a-level na alikuwa girlfriend wangu tulipomaliza tukapotezana,usikute huu uzi ni mwuujiza wa kukutana

Nami nausubiri kwa hamu huu muujiza...lol!!
 
Back
Top Bottom