OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,575
Bandukeni humu tehee
Kama hawataki wabandueni. . . . .
Bandukeni humu tehee
duh.............hapa nakusaidia kuwaita uliowataja.. umeanza na lara 1 ukafuata miss chagga then atoto na BADILI TABIA. huyu nk hayupo siku izi.
Hapa nadhani mkuu shikwashikwa utakuwa umesikika.
unataka kujitetea na nini?Research yako mkuu imeenda mbali sana...
Lala 1,miss chaga,atoto,badili tabia,nk
Waje tu wajitetee
Lisemwalo lipo...hizo ni IDs tu na inawezekana sio wadada kama unavyodhani.
Na hao ME unadhani hawabanduki MMU sababu ya KE nadhani hawajielewi sawasawa otherwise your statement is wrong, ,,
unataka kujitetea na nini?
atakuwa alikurupukaBora unisaidie kumuuliza maana kakurupuka huko sijui hata alikuwa anaelewa alichokuwa anakiandika!!
Jukwaa hili, recently naona number ya ID za jinsia ya Ke ikiongezeka na uchangiaji wao kuwa mkubwa. Na hata wasaka wachumba hapo Love connect, wengi ni wadada kwa sasa.
Previous wachangiaji wengi hapa MMU walikuwa wanaume. Hongereni wadada kwa kulinogesha jukwaa na kuwafanya baadhi ya Me kutobanduka hapa..
nani aliwahi kuwa assigned na hii kazi?
Umechelewa bwana, nishajikagua