Idadi ya wadada inaongezeka kwa kasi JF

Idadi ya wadada inaongezeka kwa kasi JF

Si ndio hapa wanalalamika kuwa wanaombwa mtandao na waume/vibangi boy vyao
 
Jukwaa hili, recently naona number ya ID za jinsia ya Ke ikiongezeka na uchangiaji wao kuwa mkubwa. Na hata wasaka wachumba hapo Love connect, wengi ni wadada kwa sasa.

Previous wachangiaji wengi hapa MMU walikuwa wanaume. Hongereni wadada kwa kulinogesha jukwaa na kuwafanya baadhi ya Me kutobanduka hapa..

idadi ya wadada ni ile ile ila ID ndio zinaongezeka.
 
Jukwaa hili, recently naona number ya ID za jinsia ya Ke ikiongezeka na uchangiaji wao kuwa mkubwa. Na hata wasaka wachumba hapo Love connect, wengi ni wadada kwa sasa.

Previous wachangiaji wengi hapa MMU walikuwa wanaume. Hongereni wadada kwa kulinogesha jukwaa na kuwafanya baadhi ya Me kutobanduka hapa..

Jidanganyee na reseach yako ya kuhesabu kwa kubunii
 
ha ha ha ha ukisema hawabanduki maana yake hata kazi hawafanyi
 
usidanganyike,wakimegwa wanarudi na id mpya

We umejuaje?? Uliwamega wangapi wakarudi na id mpya??? Hivi hii kitu ishakuwa sifa siku hizi eti!!! Hivi ule uzi wa ku-man up ulifutwa au bado upo??!! Inabidi wavulana wakapitie kule.
 
We umejuaje?? Uliwamega wangapi wakarudi na id mpya??? Hivi hii kitu ishakuwa sifa siku hizi eti!!! Hivi ule uzi wa ku-man up ulifutwa au bado upo??!! Inabidi wavulana wakapitie kule.
mbona unatetea sana nguvu
 
Wanaume hawajapungua bali wamehamia jukwaa la PM...
 
Back
Top Bottom