ID zenu nyingine tunazijua

ID zenu nyingine tunazijua

Ila ID za JF..🙌🏿😃
Huyu alikuwa tapeli blazamen
By then nilikuwa naishi Mabaibo... Nikamvuta mpaka Loyola pale kuna pub
Akaja na story ndefu ya kufunguliwa vifungo vya laana za kifamilia.. Sasa yeye na Dada yake kuna mchungaji wa Moro walikuwa wamempata hivyo mizimu ya ukoo ilitaka pesa kiasi cha million 10 hivi... Sio kuzichukua bali kuzionesha na kuzirudisha🤣

Kwahiyo wao wana million 5 wamepungukiwa na 5M niwape wakaioneshe kisha wairudishe😀😀😀
 
Ila ID za JF..🙌🏿😃
Huyu alikuwa tapeli blazamen
By then nilikuwa naishi Mabaibo... Nikamvuta mpaka Loyola pale kuna pub
Akaja na story ndefu ya kufunguliwa vifungo vya laana za kifamilia.. Sasa yeye na Dada yake kuna mchungaji wa Moro walikuwa wamempata hivyo mizimu ya ukoo ilitaka pesa kiasi cha million 10 hivi... Sio kuzichukua bali kuzionesha na kuzirudisha🤣

Kwahiyo wao wana million 5 wamepungukiwa na 5M niwape wakaioneshe kisha wairudishe😀😀😀
Kwahiyo ukawapa😂
 
Ganja nyonga Mwenyewe usimwamini Pusha
7e4e9d3d-afba-4f38-bbde-72944cac3e77.jpeg
 
Ila ID za JF..🙌🏿😃
Huyu alikuwa tapeli blazamen
By then nilikuwa naishi Mabaibo... Nikamvuta mpaka Loyola pale kuna pub
Akaja na story ndefu ya kufunguliwa vifungo vya laana za kifamilia.. Sasa yeye na Dada yake kuna mchungaji wa Moro walikuwa wamempata hivyo mizimu ya ukoo ilitaka pesa kiasi cha million 10 hivi... Sio kuzichukua bali kuzionesha na kuzirudisha🤣

Kwahiyo wao wana million 5 wamepungukiwa na 5M niwape wakaioneshe kisha wairudishe😀😀😀
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
We Mzee matukio uliyopigwa, mi ningezimia 🙌🙌
 
Back
Top Bottom