Ila ID za JF....❗🙌🏿❗
Kwenye ishu za meditation.. Wakati huo tunaandika sana.. Kuna huyo mwana ana madini balaa kwenye ishu za meditation 🙌🏿
Basi mambo yalipopamba moto..! Wahitaji wa meditation na mambo ya kiroho wakawa wengi
Mwana akaiona fursa akatengeneza group la kwanza.. Kiingilio 20 000.. Group likajaa.. Akatengeneza la pili..😃 mambo yalikuwa faya sana
Sasa akaanza michezo ya town.. Anaweka bonge la mada lenye part nyingi.. Akifika panaponoga anadai hawezi kuendelea bundle limekata.. Watu idadi isiyojulikana wanatuma tano tano na kumi kumi za bundle..,🤣
Nadhani mnaijua JF fika.. Watu wakaanza kuhoji mengi... Akaanza kuwaleftisha wote wanaohoji.. Mambo yaliishia hapo🙌🏿🤣