ID zenu nyingine tunazijua

ID zenu nyingine tunazijua

Hizi stori bila kutaja hizo id
Mtatuacha njia panda.
Tajeni basi.


Ila nimekumbuka mshana
Akina Extrovert na wengine wengiwengi mlitapeliwa hapahapa jukwaani.
Mtu kaja na picha ya mtoto Mgonjwa, eti anadaiwa bill hospital

Tukampa pole wee
Akina Mshana chap mkamtumia michango.
Dah, kumbe amechukua picha za watu jamani,, Yeye siyo muhusika.
Wahusika wa Mgonjwa kwenda kuwaona hiyo hospital walishangaa.
Ila matepeli ni watu majasiri sana😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Usinikumbushe...
Watu wakaenda hadi Lugalo...
Wodi ya watoto waliongua wanaulizia hadi na picha wanaonesha mgonjwa hawamtambui🤣
 
Utapeli na ujanja upo upo sana nakumbuka Maxence mwenyewe alishawahi kutapeliwa na Member wa humu mwaka 2011 , akahamaki na kutukana na akalambwa BAN 🤣🤣🤣
Nakumbuka ulihadithia hii😂😂😂
Hasa sasa ndio matapeli waliowachongea njia wenzao sasahivi wanatiririka tu.
Wslionyesha mfano kwa vitendo kwa kumpuna kaka yetu mkurugenzi Maxence Melo .
 
Back
Top Bottom