Wapo wengi tu mfano; ana andika post yake isiyo na ushahidi wowote/porojo za kijiweni unamjibu, anakuja na Id nyingine kutukana? Na akishatukana, anakuja na Id nyingine kujipa like?
Tunawajua ILA tunawapotezea. Ushauri acheni kutukana watu na ID zenu feki!
Watu wenye maarifa hushindana kwa hoja na sio kwa matusi!
Tunawajua ILA tunawapotezea. Ushauri acheni kutukana watu na ID zenu feki!
Watu wenye maarifa hushindana kwa hoja na sio kwa matusi!