ID zenu nyingine tunazijua

ID zenu nyingine tunazijua

Alipokosea ni pale alipokazania michango halafu muda mwingi hayupo hospital.. Nakumbuka Dada ulichanga pia🙌🏿😀
Mi sikuchanga😂😂😂
Mwaanachuo ningetoa wapi hela?
Ila nilikuwa nahamasisha watu wachange, na kuwashukuru waliotoa🤣
,.
Ila sisi pia tumewahi kupigwa na classmate wetu mmoja.
Alisingizia amepata matatizo, anaomba sapoti.
Tena alinitafuta mimi inbox, na mwenzangu mmoja.
Sisi hao tukasimamia michango, mi nimepigia hadi watu simu watoe michango.
Kumbe ni tapeli yaani sina hamu tena na kuchangisha michango 🙌🙌🙌
 
Wanachama wazoefu wa JamiiForums huwa wanagundua au kuhisi mtu anatumia akaunti tofauti kwa kuangalia viashiria vifuatavyo:

Mfumo wa uandishi (Writing Style): Matumizi ya maneno yale yale ya siri, makosa ya kisarufi yanayofanana, au jinsi mtu anavyopangilia hoja zake.

Muda wa kuonekana mtandaoni: Akaunti moja inapoacha kuchangia, nyingine inaingia hapo hapo na kuendeleza uzi au kubishana na watu wale wale.

Kujibu hoja kwa niaba: ID nyingine inapoingia kumtetea mtu fulani kwa hisia kali sana kana kwamba ni mtu yule yule anayejishuku.

Kada na maoni: Akaunti zinazotetea au kushambulia upande fulani (kama vile siasa au mahusiano) kwa kutumia hoja na mifano inayofanana kkabisa
 
Back
Top Bottom