ID zenu nyingine tunazijua

ID zenu nyingine tunazijua

Ila wewe siyo tapeli, sitaki kuwafaidisha watu humu!
Nipo kiroho safi kabisa na wala sina baya iwe ni kwa utapeli au dhumuni lolote lile na ikasemekana nna ID zaidi ya hii The Monk, kwa manufaa ya umma na reputation yangu, kweli unaweza kuiweka tu, nimeridhia.

Hauwezijua huenda ukanisaidia, ukute kuna mtu huko anatumia vibaya ID yangu mwenyewe najiachia jukwaani, kumbe watu wanakuchora tu.
 
Kumbe ndo maana huwa unanikatalia pm, kwa sababu ya watu aina hii? 😂
JF ni kauli mbiu yangu tu, hadi tufike PM hapa jukwaani tushajuana sana. Hamna wa kunitapeli JF labda mtu aombe msaada wa uongo nikiguswa na uongo natoa hela mara nyingi ni hela ndogo ndogo tu hazina madhara.

Hiyo issue niliyohadithia huko juu haihusiani na JF.
 
IMG-20260910-WA0083.jpg
 
Back
Top Bottom