Vitu gani hivyo?Anatafuta vile vitu alivyopoteza akiwa kwao 😂
Jau Sana uyu😂😂
Ana mimba changa mzoee tuKuna mtu kareact angry kwenye hii comment. Mna shida nae kwan?
😂😂Mimi ukunipiga kizinga nikatumia pesa bas ujue iyo pesa ndan yake inakiumbe Cha buku jero uhangaike nacho😂😂😂
kuna vitu vinachekesha sanaJau Sana uyu😂😂
Kwahiyo ukasuuzwa shorii🤣🤣🤣🤣🤣🤣,yaani Wala alinizoea tu yule mkaka,,nikajisemea humu unaweza kununiwa Kwa mambo ya kipumbavu.
🤣🤣🤣🤣🤣,Nilivyo post kumchangia lisu M 7 ukafungua ID mpya ukaja nipiga kizinga dm kinyamkela akanisanua baba uyo secretarybird usimpe pesa nikacheka Sana ,😂😂😂 alafu nikatumia busara kukujibu ikaisha iyo🔥🔥🤪😁😁
Usicheke mkuu 😂 😂🤣🤣🤣🤣🤣,
Wetin’ be dis??😬Huruma sio malezi..!View attachment 3667996
Yaani acha tu...ila jifunze kutoa taarifa za uongo itakusaidia sana humu jfHebu tupe kisa kidogo jamani😆
Kaka kumbuka siku ile nilikuambia kabisa ukae tayari kwa ujio wangu kupitia 🆔 nyingine, lakini nikatoka patupu aisee!Nilivyo post kumchangia lisu M 7 ukafungua ID mpya ukaja nipiga kizinga dm kinyamkela akanisanua baba uyo secretarybird usimpe pesa nikacheka Sana ,😂😂😂 alafu nikatumia busara kukujibu ikaisha iyo🔥🔥🤪😁😁
Sasa namimi ngoja nikachekee bafuni.Nimefika salama,bro nakukumbuka sana,
Huu mguu hutakaa uuone kwako ndo hiiHuruma sio malezi..!View attachment 3667996
Vingi tu, mfano hela, matumaini, furaha na kadhalika.Vitu gani hivyo?
Mi sijaumizwaDah! Kumbe nachekacheka kwenye Uzi ilihali kuna watu wameumizwa!
Mnisamehe waungwana 🙏
Huyu mpigaji alaaniwe.