ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 55,127
- 129,206
Kile kipindi mjukuu ningejua ningetengeneza platform chaap 😆😆😆kuku mgeni binti sayuni!!Tulia babu🤓
Kile kipindi mjukuu ningejua ningetengeneza platform chaap 😆😆😆kuku mgeni binti sayuni!!Tulia babu🤓
Dah! Pole sana mkuu. Nami naanza kufunga kuanzia leo hadi jumapilia ambapo tutamsomea misa na kumlaani huyo tapeli.Mkuu kanipiga chenchi chenchi lakini na Mimi nikalipiza kwa kumrogea gundu la kimavi.. Shwain kabisa yule🤣
nina zawadi yakohahah! stress ni adhabu mkuu katika mambo ya ku ignore ni stress zisio ingiza hela
View attachment 3667930
Nimefika salama,bro nakukumbuka sana,Tulikubaliana utacheka ukifika nyumbani wakati mie nalia sana, umefika?
Na mimi naombaa😁 si uliambia ntakuwa wa mwishoUkija kilevi naye vilevile! Ndiomaana sikuhizi Sieleweki sitaki kabisaa🤣 acha nionekane mkorofi tu, wanaonifahamu wametosha! Ukiwa mpole sana unaombwa mnoo aarrghhh😂😂
Namjua wa aina hii pia😀Mtu anakujia na In'shaAllah In'shaAllah kibao😁😁
Hapo kimbia usigeuke.
Basi tu walikuwa wanafurahia kuingia JF kwa account yangu
Ungefanyaje sasa😅Kile kipindi mjukuu ningejua ningetengeneza platform chaap 😆😆😆kuku mgeni binti sayuni!!
Nafikri Id Moja inakuwa active sana kuzuga akipata tu post ya dini ndo anafungulia nyuki za backupKuna zile za dini pia huwa wanawahi kama za mbogax2 tu, sijui mtu anajuaje
Sana,maana mie sieleweki,rangi zote 12 ninazo🤣,,,anaenijia vile naruka nae vile alivyonijia,Ukija kilevi naye vilevile! Ndiomaana sikuhizi Sieleweki sitaki kabisaa🤣 acha nionekane mkorofi tu, wanaonifahamu wametosha! Ukiwa mpole sana unaombwa mnoo aarrghhh😂😂
Kila mtu atapata kuweni na subira😅Na mimi naombaa😁 si uliambia ntakuwa wa mwisho
😂😂😂 Najua anachofanya hapo.Da ganna anataka muwe wazi sana msingidani😆😆😆😆maniner dah!!
mh!Kila mtu atapata kuweni na subira😅
Duhh akiwa timamu kabisa? Kuna akili zingine za ajabu jamani!Nafikri Id Moja inakuwa active sana kuzuga akipata tu post ya dini ndo anafungulia nyuki za backup
Why can't you just be real!? Woga wa nini sasa😀🙌🏿❗
ID mlima kama zinaleta pesa!?
You just can't hide your inner self...!
Your reaction...!
Your handwriting...!
Your cycles...!
Your puppetism...!
ID ya kusifu watu.
ID ya kutukana na kukashifu.
ID ya mizinga.
ID ya utakatifu feki🙌🏿🙆🏿♂
ID za uzinzi nknk..❗❗❗
Shida sio kuwa na ID nyingi kwakuwa sheria inaruhusu.. Shida ni je unazitumiaje?😂
Basi tu tunasitiriana na kupotezea maana tunatambua changamoto za maisha na afya ya akili vinavyotesa wengi
ID ni kinyago unaweza kukibadili lakini sio uhalisia wako❗
ID ZENYU TUNAZIJUA...😂View attachment 3667736
Ujobless na kukaa kwa shemeji ndio chanzoDuhh akiwa timamu kabisa? Kuna akili zingine za ajabu jamani!