secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 22,478
- 46,984
Kweli kabisa huruma iko kwa bwana Yesu.Huruma sio malezi🤣
Kweli kabisa huruma iko kwa bwana Yesu.Huruma sio malezi🤣
Ulikua umeingia kwenye jimbo la lenye mbungeKuna kipindi ni muda,nilim maintain mkaka mmoja humu jf,,,Kuna mdada Wacha anifuate pm🤣🤣🤣Eti huyo unamjua,mpo vipi🤣🤣,niliishia kucheka sikumjibu kitu.
Anatafuta vile vitu alivyopoteza akiwa kwao 😂Hivi kwanza mtu anaanzaje kukaa kwa shemeji yake anakuwa anatafuta nini?
kwani kuna ambae ameshakufata since last week😁Kuna kipindi ni muda,nilim maintain mkaka mmoja humu jf,,,Kuna mdada Wacha anifuate pm🤣🤣🤣Eti huyo unamjua,mpo vipi🤣🤣,niliishia kucheka sikumjibu kitu.
DuuNoma sana
ujobless na kukaa kwa shemeji ndio chanzo cha hayo yote 😁
hahahahaha,Kuna kipindi ni muda,nilim maintain mkaka mmoja humu jf,,,Kuna mdada Wacha anifuate pm🤣🤣🤣Eti huyo unamjua,mpo vipi🤣🤣,niliishia kucheka sikumjibu kitu.
Yeah that's reason
Kuna mtu kareact angry kwenye hii comment. Mna shida nae kwan?Umesahau ID ya kuuza makontena
Hahahahah,Hadi wewee🙌Ila ID za JF 😀🙌🏿🙌🏿 Niliwahi kutuma nauli na ya kutolea juu😂.. Hakuwahi kuja..🙆🏿♂ imagine mpaka mkongo na energy juu na panadol... Nyoko zako😎
Ulijiamini nini hivo mkuu mpaka ukaamua kufanya kitu kama hikoIla ID za JF 😀🙌🏿🙌🏿 Niliwahi kutuma nauli na ya kutolea juu😂.. Hakuwahi kuja..🙆🏿♂ imagine mpaka mkongo na energy juu na panadol... Nyoko zako😎
🤣🤣🤣🤣Inauma sana watu wanapiga stori mbele yako ila huelewi wanamuongelea nani
UkamrogaKupatwa kwa mganga😭
Fala wewe😂Ila ID za JF 😀🙌🏿🙌🏿 Niliwahi kutuma nauli na ya kutolea juu😂.. Hakuwahi kuja..🙆🏿♂ imagine mpaka mkongo na energy juu na panadol... Nyoko zako😎
🤣🤣Kupatwa kwa mganga😭.. Wallah kuna viumbe havina mshipa wa woga🤣
Nilivyo post kumchangia lisu M 7 ukafungua ID mpya ukaja nipiga kizinga dm kinyamkela akanisanua baba uyo secretarybird usimpe pesa nikacheka Sana ,😂😂😂 alafu nikatumia busara kukujibu ikaisha iyo🔥🔥🤪😁😁Ndege mdinya sasa hivi nimelazimika kutumia ID mbili. Kwa ID moja napiga vizinga, kwa nyingine nakuwa mtu wa heshima.
Kwa bahati maxence melo anazijua zote, hivyo hawezi kuziunganisha.
😂😂😂Nilivyo post kumchangia lisu M 7 ukafungua ID mpya ukaja nipiga kizinga dm kinyamkela akanisanua baba uyo secretarybird usimpe pesa nikacheka Sana ,😂😂😂 alafu nikatumia busara kukujibu ikaisha iyo🔥🔥🤪😁😁