The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 21,011
- 48,395
Pastor kama pastor, apostoNdio hafu mwisho wa vyote ba mchungaji anaomba kyumer🙃
Pastor kama pastor, apostoNdio hafu mwisho wa vyote ba mchungaji anaomba kyumer🙃
Mimi sina maajabu yoteyote ungehisi tu uko na dume jenzio😀Kuliona tu hutaki! Ungeniruhisu nikukaribie, ila Kuna vitu ukiviona kipindi hiki ni ngumu kuvumilia
Amenikumbusha Juma nature na Sinta inaniuma sana hiyo pisi ni nani aisee pisi ya mganga hiyo..Wanajuana na chamdeko wake sijui alipewa nini 😅😅
Hahahhaha nimecheka weee!!Hata hakusema awali, nikawa nikikutana na mtu naona anazidi kuwa mwekundu na ananyong'onyea kimya kimya kumbe ameshatengenezwa.
Imagine jamaa akarudi tena ki gentleman anataka arefund utapeli, bado akashindwa kuhifadhi ufedhuli wake, akazidi kuharibu.
Ila unaweza usiamini jamaa anawezakuja kupiga tena pesa kwa binti kiziwi na akafanikiwa, hasikii kwa vile ni kiziwi
Kwenda na moja kichwani
Aposto Kuna muujiza huku😆Pastor kama pastor, aposto
Achana nae anadislike comment za kila mtu .Kama ni yeye aje aniambie kwanini anadislike kila ninachoandika na ananifuatilia fuatilia, nimemuibia mume au?
X wa Drake huyu anaitwa Gracie Bon 😂
Aisee wahuni kwa kupenda 124..
Tupia kuleMimi sina maajabu yoteyote ungehisi tu uko na dume jenzio😀
Tafsiri💪🏿Too much politics can be stressful and frustrating, especially when things do not go the way you hope. Likewise, excessive engagement on JF can create the illusion that you are widely known or influential. The reality is that only a small number of people know about JF or even have it on their devices.
Use it responsibly and keep things in perspective bro............that pics attachment tells all!
Punguzeni multiple IDs wakuu.
Hahahaha, naomba nikukumbushe, mzee ulikuwa wa moto😬😬Brother maji yaliyopita usiku yalikataa kuchotwa..! Seriously SIIKUMBUKI🤣
Alikua ana ku set, wewe ukampiga shot.Hahahhaha nimecheka weee!!
Nafikiri wakati ananitext alikuwa na mission yake, jibu langu lilimfanya apotee mazima.
Mkuu,Huyo ni wa kuhurumia na kuachana nae tu, asikushughulishe.
Gonga mtori nyama ziko chini kiongozi.Sielewi chochote nielewesheni tafadhali
View attachment 3667860