ID zenu nyingine tunazijua

ID zenu nyingine tunazijua

Why can't you just be real!? Woga wa nini sass😀🙌🏿❗

ID mlima kama zinaleta pesa!?
You just can't hide your inner self
Your reaction..
Your handwriting..
Your cycles..
Your puppetism..

ID ya kusifu watu
ID ya kutukana na kukashifu
ID ya mizinga
ID ya utakatifu feki🙌🏿🙆🏿‍♂
ID za uzinzi nknk

Shida sio kuwa na ID nyingi kwakuwa sheria inaruhusu.. Shida ni je unazitumiaje?😂

Basi tu tunasitiriana na kupotezea maana tunatambua changamoto za maisha na afya ya akili vinavyotesa wengi

ID ni kinyago unaweza kukibadili lakini sio uhalisia wako
ID ZENYU TUNAZIJUA...😂View attachment 3667736
Hatimae
Seran 😄😄😄kuna mtu mwenye id 7 namuona
Styl ileile ushenzi ushenzi tu...be real men
Mwanume wa kweli kutwa kubadirisha id na kuchafua watu
Km we mwanaume kweli get back to the used 1
 
🫩🫩🫩🫩
Mambo yako haya mwanangu
c52bfb92-fd6d-4daa-982c-c159932dee25.jpeg
 
True story kuhusu multiple IDsp
Kuna mwana hapa jukwaani siwezi kumsahau😂😂🙌🏿 kama anasoma hii post anipe ishara ya 5 tu inatosha..
Huyu jamaa alikuwa na ID kama 10 hivi..! Mimi sikuwahi kujua kabisa

Sasa sijui alijuaje kama kipindi hicho nilikuwa na chenchi kidogo, basi kila week ilikuwa kuna ID ngeni 2 zinaniomba assist PM ya 5 to 10K❗

Mimi bila hiyana wala kinyongo nikawa narusha maana nayajua maisha ya mwanaume kuishiwa

Basi baada ya mwaka nikapata simu ngeni jamaa akanisalimia kwa furaha sana na kunishukuru sana.. Kisha akatuma msg kaka hii

Mshana kuna kipindi nilikuwa nimepigika mno.. Nilikula sana tano tano na kumi kumi zako kupitia ID mbalimbali

Sasa hivi niko Mwanza nataka nikutumie chochote kukushukuru😂😂😂 Je hii number inapokea miamala? Nikamwambia ndio..! Akasema nimpe dakika 5.. !!!

Mpaka Leo nasubiri huo muamala..! Yaani tapeli ni tapeli tuu..! 🙌🏿
😂😂😂😂😂 Heee sasa kulikuwa na haja gani kusema anataka kukulipa?

The Monk Njoo hapa nahisi kama jamaa yetu yupo humu, iweje anitext kuwa anataka kunilipa lile deni halafu apotee hadi leo?

Nilicheka sana ulivyoniambia subiri uone kama utalipwa 😅😭
 
Attention seekers..
The wanna be’s
Aisee za dini nazo zilinacha mdomo wazi🫢
Nyie matapeli wapo🙆🏽‍♀️ 🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️
Now u know 😄😄watu mkaombewa na kuombewa 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️😎
Utapeli na ushenzi...

Mbona hujaniita? 😄
 
Back
Top Bottom