icloud unlock for iphones

icloud unlock for iphones

Un
Kwasasa nina iphone 6 & 7 nne nimefanikiwa moja 6s. nilikuwa nimezoea 5 na kushuka chini. Namba yangu 0762516246 nipo whatsapp[/QUOTE
Unawezaje kutoa 6s alafu 6 ikushinde mkuu?!
 
Dear wana jamii forums. Zaidi ya miaka mitatu hivi nilikuwa naondoa lock za icloud kwa asilimia zaidi ya 70%. Yaani ukiniletea simu 10 zenye icloud, 7 nilikuwa naweza kuzifungua. Lakini kuanzia mwezi wa 7 mwaka huu 2017, especially simu mpya kama iphone 6s plus na 7 zimekuwa ngumu sana kuzifungua. Je! kuna yeyote hapa tunaweza kushirikiana ujuzi na uzoefu wa jinsi ya kuzifungua? Trust me. Hii ni biashara nzuri sana kwasababu ni kilio duniani ukiweza kufanikiwa kufungua angalau mbili kwa siku you will never be the same. Njoo tuzungumze
Vp ipad za wi fi nazo unatoa icloud?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
iPhone ni nzuri acha tu..niliwahi kutumia iPhone 4s nikazikubali ila nilikuja kuiuza kwa shida niliyokuwa nayo..nna mpango wa kununua i5s nizidi kuenjoy
Yeah! iphone ni nzuri zaidi, alafu haziharibiki ovyo kama simu za android. ila inabidi usisahau security ulizoziweka kama password lock, itune au/na icloud
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom