Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 53,159
- 72,199
ndio mkuuDah! Mkuu umerudi kwa kasi
ndio mkuuDah! Mkuu umerudi kwa kasi
Ndio wanazifungia wao au wana nunua zina icloudPamoja na security watu tumeendelea kuzifungua. Unajua kuna watu wengi sana wameuziwa simu kwa bei kubwa wanakuja kushtuka hawawezi kuzitumia. hapa Dar wapo kibao!
Kweli eti ehIphone 6s na iphone 7 are the latest iphones na zinakubari new release iOS. Endelea kula maisha kiongozi. ukizoea kutumia iphone huwezi kutumia simu nyingine. Ni nzuri mmno!!
Yap inakubaliMkuu i5s ambayo iko locked ikiunlockiwa inaweza kuupdatiwa?
Look! iphone nyingi kwa uzoefu kuanzia iphone 5s downward zinafunguka. nyingi zitazingua lakini ukikomaa na ukawa na muda wa kucheza nazo zinafunguka. trsust me!i5s inakubali hadi ios version ngapi
Kiongozi watu kama nyie ndo nawatafuta. njoo basi tushirikiane ezoefu tutatue matatizo ya watu na tujipatie kipato. you see? icloud locked iphone kuzifungua sio crime kama watu wanvyo fikiria na mtu eti anakushitaki atashindwa mwenyewe. issue ni yule aliyekuletea simu akiwa na hoja kuwa niyake na imejifunga. sasa nikimfungulia mimi nina kosa gani? njoo tushirikiane uzoefu. mimi hapa niliponina iphone kibao nazifanyia kazi and it is good bissnessBTW mm pia nilishawah kuzifungua iPhone kuanzia 4_5 MWISHO na nilikuwa naweza zile zenye IoS 8 kushuka chini tu na kwa uzoefu wangu 4 zilikuwa nyepes sana but niliamua kupotezea maana Kuna jamaa angu alikamatwa aisee na police, but uwezo wangu ulikuwa kutoa password, na kama mtu aja_report kwa wenyew kama kaibiwa basi inakuwa easy kwel maana akiwa tayar bas unakuta ujumbe kila Mara unatumiwa ukiiwasha tu simu, AISEE WALE JAMAA WAPO VIZUR, though nying sana nilikuwa nikiweza unaishia kutumia kama iPod tu kwa kwel ukiwa uwez kupata wireless internet kila muda bas utatumia kama kusikiliza music, kucheza games, kusoma vitabu ambao ushavidownload, na matumizi mengine but except kupiga simu au kupigiwa maana sim uwa not supported, but nilsikia kuna watu wapo vizur zaidi though sijawah kuona, Lakin nishazipotezea because kwa upande wangu Kuna mengi ya kujifunza kutokana na IT yangu rather than those... Nawakilisha
Pirate
Baada ya kuondoa lock unafuta icloud na inakuwa mpya kama ya kwako original na unaweza kuapdate iOSMkuu i5s ambayo iko locked ikiunlockiwa inaweza kuupdatiwa?
Kuapdate iOS ya iphone inategemea hardware platform ya hiyo simu w.r.t. new iOS. New release ya iphone ni automatic kuangalia iphone na itakuambia unaweza kuapdate au la, mwanzo kabisa unapoicommandoya i5s ukiiupdate ios inaenda hadi hii mpya au inaishia 10??
Look! I am professional! Kuna wengine nawafungulia simu zao huko huko waliko alafu wanasepa bila kunilipa. Tuwasiliane bei ni maelewano!Mkuu inawezekanaje??? 5s kwa mfano sh ngapi
Sent from my iDevice using Tapatalk
oya i5s ukiiupdate ios inaenda hadi hii mpya au inaishia 10??
5c
5
4s iliishia iOS 9
sio ku-format. Ku-update iPhone ni ku-upgrade iOS (mfumo endeshaji wa simu za
) kutoka wa zamani kwenda mpya. Mfano kutoka iOS 10 kwenda iOS 11 kutegemeana na uwezo wa simumkuu kwani we unatumia njia gani kufungua icloud locksInawezekana sana mkuu. Simu ngumu ni 6 na 7 ambazo mpaka sasa nimeletewa 3 zinanitessa kuzifungua. kuhusu bei ni maelewano njooo whatsapp 0762516246
Wanazinunua zikiwa zimefungwa kwa kutokuwa na maharifa ya icloud na wengine wakifuata bei rahisi. Kawaida iphone bei yake hiko juu sana kwa mtu wa kipato cha kawaida hii simu huwezi nunua bland new.
Njia nyingi. Hiyo siri yangu. Lete kama imefungwa nitaifungua na tutafanya biashara. Nilikuwa natafuta watu wanaofanya biashara kama hii tushirikiane uzoefu kwasababu nyingine zinanishindamkuu kwani we unatumia njia gani kufungua icloud locks
Asante sana PlayBoyMwema. Zinafunguka kama unamaharifa ya mambo ya IT! Nimefanya kazi hii muda sasa japo kuna challenge ambapo Apple wanaongeza security especially kuanzia 6s. Kwa wanaofanya kazi hizi tutengeneze group whatsappp au kutumia "Teamviewer" tusaidiane maharifa. hili ndo lilikuwa kusudi langu kuanzisha uzi huuKwa sisi tunaocheza na cracking, patching, reparking na SEO tunaamin hakuna linaloshindikana chin ya jua... Kama inawezekana kujailbreak iphone 7 kwann ishindikane kutoa icloud?... Ni vile tu haya mambo yanahitaj utundu mwingi