Blue Bahari
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 2,123
- 2,696
Mzanzibari kàja kujua watanganyika
Samuya kavalishwa mapepo mazito sana.Kwa haya yaliyotolea, hakuna mtu anaweza kunishawishi nikaamini kuwa huyu mtu ni binadamu. Hili ni shetani katika umbile la mwaadamu. Hakuna mwanadamu anayeweza kuyatenda haya aliyoyatenda huyu shetani.
Ni afadhali ya Netanyahu kwa kuwa yeye haui Waisraeli wake. Sisi mama huyu anaua Watanzania wenzake, wale wale ambao anapigana kwa udi na uvumba awaongoze. Ndio maana jana akaogopa hata kuapishwa hadharani kwenye uwanja wa mpira kama ifanyikavyo kwa kawaida ili kila raia aweze kuhudhuria hafla hiyo ya furaha. Hafla ikawa kwa kualikwa tu. Yaani anawaogopa watu ambao atakuwa anawaongoza. Hapo hapo anadai amechaguliwa kwa asilimia 98% ya wapiga kura. Iweje awaogope watu wanaompenda kiasi hicho?Hii ni zaidi ya October 7 na Netanyahu anachokifanya
Waliompa ushindi wa 98% hawamtakii mema
Mimi bado ninaamini kuna kitu.Waliompa ushindi wa 98% hawamtakii mema
Mange atupe muongozo wa kutuma mashtaka huko ICC.Si inabidi sisi tutume ushahidi mwingi ICC, pia zile video alituambia hakutakuwa na Nywinywi,?video zote za mauaji pia tuzitume huko,?wamfungulie mashtaka huyu Kibibi mwenye division zero form four.
Zitume kwa Mange Kimambi, Maria Sarungi au hata huyu Nyani Ngabu mtumie PM.Tena wakitaka ushahidi nina videos na picha za kutosha ya miili ya waliouwawa na huyu dhalimu samia mja wa laana na serikali yake ya kidhalimu
Endelea kuwatumia ushaidi huo wa hizo picha za mauaji,.Kuna kipindi nami niliwatumia shauri wakadai wanaitaji ushaidi unawasilishwa na majority.Oh trust me. Mimi ninazo zaidi ya 200 na tumeshaziwasilisha ICC.
Huyu mbwa lazima ashughulikiwe.
watoe kwanza ya dagalo hemeti wa RSF acheni ujinga na kuota moto wa matairi utapata TBHuyu mtu, huyu kiumbe aitwaye Samia anapaswa kushitakiwa, at the least.
Ingekuwa ni juu yangu, nadhani wote mnajua ambacho ningetaka kumfanya au ambacho ningependa kimtokee.
Kwa dhambi kama hii hapa chini kwenye picha, huyu mtu anapaswa kukamatwa na kupelekwa mbele ya Plato.
View attachment 3496787
Nategemea ICC itatoa arrest warrant dhidi yake.
Make her life a living hell.
Toeni arrest warrant haraka sana ili aishie kuwa anaenda Somalia na Burundi huko kwa rafiki zake.
Na ole wake aje kwa Trump.
Nakuaminiaaa tuungane kama kuna fee kufungua shauri Icc tupige mbiu nchi yoote tutachangiaa hii unyama mkubwa sanaaaOh trust me. Mimi ninazo zaidi ya 200 na tumeshaziwasilisha ICC.
Huyu mbwa lazima ashughulikiwe.
We jamaa ndo mana huna nguvu za kiume mkeo anabondwa na bodaboda kila siku unalalamika humu kumbe choko
Asante kama umeziwasilisha, nashukuru sanaOh trust me. Mimi ninazo zaidi ya 200 na tumeshaziwasilisha ICC.
Huyu mbwa lazima ashughulikiwe.
Watu gani tena wakati hata wewe unaweza anza kulifanyia kazi?Natamani watu wapush hili jambo mbele zaidi kimataifa ili kupata suluhu.
NILIPO WAAMBIENI SAMIA ATAMWAGA DAMU NYINGI MLINIPINGA MKANIITA SIYO JINIUS ...ila mjalaana samia atotoboa kwa namna yoyote na walio nyuma yake wote hii ni 100%Huyu mtu, huyu kiumbe aitwaye Samia anapaswa kushitakiwa, at the least.
Ingekuwa ni juu yangu, nadhani wote mnajua ambacho ningetaka kumfanya au ambacho ningependa kimtokee.
Kwa dhambi kama hii hapa chini kwenye picha, huyu mtu anapaswa kukamatwa na kupelekwa mbele ya Plato.
View attachment 3496787
Nategemea ICC itatoa arrest warrant dhidi yake.
Make her life a living hell.
Toeni arrest warrant haraka sana ili aishie kuwa anaenda Somalia na Burundi huko kwa rafiki zake.
Na ole wake aje kwa Trump.