GE2025 ICC toeni arrest warrant ya huyu mtu

GE2025 ICC toeni arrest warrant ya huyu mtu

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Okay
 

Attachments

  • IMG-20251103-WA0062.jpg
    IMG-20251103-WA0062.jpg
    59.3 KB · Views: 14
Wadanganyika tuungane kwa hili kwa sababu Tanganyika kwa sasa ni kama koloni la zanzibar,
Na ndio maana huyu mwanamke ametuua sana,
Na itaendelea kufanya hivyo kwa sababu wazanzibar hawajawahi kuwapenda wadanganyika daima.
Tusipochukua hatua kwa mauji makubwa hivi tutakuwa tumeamua nchi yetu kutawaliwa na viongozi wauaji. Huyu aliiga kwa Magufuli kupora uchaguzi. Ameona inawezekana. Tukikutulia anayekuja ataona anaweza kuua na kukaa madarakani. Tuchore mstari. Tuanze na maandamano makubwa yakiongozwa na viongozi wa dini. Ifuatiwe na kesi mahakama ya ICC. Ushahidi wote upo na kauli za viongozi walioagiza unyama huu. Tusipochukua hatua tumekwisha. Mtu ambaye hana uhalali wa umma anuaje kiasi hiki, kisha tukae kimya ili akae madarakani kutuibia?
 
sasa wakuu munalalamika nini? simlijipanga kufa? sasa watu wamekufa munalialia nini?
Mkuu sio wote waliouawawa walikua kwenye maandamano.
Huwa unanishangaza unatetea haki za wanaouliwa gaza lakini huku wanaouliwa unafurahi
Swali ulilouliza jiulize pia kwa nini huwa unalalamika wapalestina kuuliwa ikiwa wamejipanga kupambana na Israel?
 
Si inabidi sisi tutume ushahidi mwingi ICC, pia zile video alituambia hakutakuwa na Nywinywi,?video zote za mauaji pia tuzitume huko,?wamfungulie mashtaka huyu Kibibi mwenye division zero form four.
 
Na walivyo wajinga, walizuia wafiwa kuchukua miili ya wapendwa wao, baadae serikali ya wauaji ikachukua hiyo miili wakaenda kuizika kwenye kaburi la pamoja ili kuficha ushahidi. Huu ni ushetani kabisa. Uzuri.ushahid wotee tunao na tumeshatuma pahala husika

Samia, IGP na DGIS wanatakiwa kuwa ICC.
 
Kwa haya yaliyotolea, hakuna mtu anaweza kunishawishi nikaamini kuwa huyu mtu ni binadamu. Hili ni shetani katika umbile la mwaadamu. Hakuna mwanadamu anayeweza kuyatenda haya aliyoyatenda huyu shetani.

Mungu wetu, tunaomba sana huyu shetani alipie damu alizozimwaga.
 
Huyu mtu, huyu kiumbe aitwaye Samia anapaswa kushitakiwa, at the least.

Ingekuwa ni juu yangu, nadhani wote mnajua ambacho ningetaka kumfanya au ambacho ningependa kimtokee.

Kwa dhambi kama hii hapa chini kwenye picha, huyu mtu anapaswa kukamatwa na kupelekwa mbele ya Plato.

View attachment 3496787

Nategemea ICC itatoa arrest warrant dhidi yake.

Make her life a living hell.

Toeni arrest warrant haraka sana ili aishie kuwa anaenda Somalia na Burundi huko kwa rafiki zake.

Na ole wake aje kwa Trump.
If these global rights bodies truly function, then Samia deserves a day in the court. SHE IS BESTIAL😢
 
Huyu mtu, huyu kiumbe aitwaye Samia anapaswa kushitakiwa, at the least.

Ingekuwa ni juu yangu, nadhani wote mnajua ambacho ningetaka kumfanya au ambacho ningependa kimtokee.

Kwa dhambi kama hii hapa chini kwenye picha, huyu mtu anapaswa kukamatwa na kupelekwa mbele ya Plato.

View attachment 3496787

Nategemea ICC itatoa arrest warrant dhidi yake.

Make her life a living hell.

Toeni arrest warrant haraka sana ili aishie kuwa anaenda Somalia na Burundi huko kwa rafiki zake.

Na ole wake aje kwa Trump.
Tena wakitaka ushahidi nina videos na picha za kutosha ya miili ya waliouwawa na huyu dhalimu samia mja wa laana na serikali yake ya kidhalimu
 
Back
Top Bottom