Maumivu yakizid paka mate!I know.
I just want her to be shamed and shunned.
Siyo Rais halali huyo.
Maumivu yakizid paka mate!I know.
I just want her to be shamed and shunned.
Siyo Rais halali huyo.
Walioiba, kupora na kuchoma mali Za watu vipi?Wasipomshtaki nitashangaa sana. Wamekufa watu wengi kuliko ule uchaguzi wa Kenya uliofanya kina Ruto washtakiwe.
Wewe jidanganye,uhai wa mtu hauna mbadala,Samuya hawezi kwepa hili jambo,tutahakikisha anafikishwa ICCWalioiba, kupora na kuchoma mali Za watu vipi?
Jamhuri ya muungano wa Tanzania haina mbadala!!
Kwa huu ushahidi uliopatikana amini maneno yangu.Huyu mtu, huyu kiumbe aitwaye Samia anapaswa kushitakiwa, at the least.
Ingekuwa ni juu yangu, nadhani wote mnajua ambacho ningetaka kumfanya au ambacho ningependa kimtokee.
Kwa dhambi kama hii hapa chini kwenye picha, huyu mtu anapaswa kukamatwa na kupelekwa mbele ya Plato.
View attachment 3496787
Nategemea ICC itatoa arrest warrant dhidi yake.
Make her life a living hell.
Toeni arrest warrant haraka sana ili aishie kuwa anaenda Somalia na Burundi huko kwa rafiki zake.
Na ole wake aje kwa Trump.
N.B Ina onekana zama hizo watu walikuwa jasiri sana kwa kuandika na pia kusema hadharani bila woga. Zama zetu hizi ni kusifu tu kwa kiwango cha juu cha kustajabisha.
NRNE vipi? 🤣🤣🤣🤣🤣Wewe jidanganye,uhai wa mtu hauna mbadala,Samuya hawezi kwepa hili jambo,tutahakikisha anafikishwa ICC
Daah kamanda Yale maagizo yako kwa jeshi daaah Mara chukueni ikulu ya Dar Mara chukueni chamwino Mara haya haraka sana dhibitini jengo la INEC hahahahahahahahahaha vipi NRNE?Kwa huu ushahidi uliopatikana amini maneno yangu.
Samia asipotolewa arrest warrant na ICC niite mbwa.
Watu wengi waliokuwa wanaandamana kwa amani. Polisi wa wauaji walianza kufyatua risasi, vibaka wakapata nafasi.Walioiba, kupora na kuchoma mali Za watu vipi?
Jamhuri ya muungano wa Tanzania haina mbadala!!
Si kweli! Zile zilikua vurugu!Watu wengi waliokuwa wanaandamana kwa amani. Polisi wa wauaji walianza kufyatua risasi, vibaka wakapata nafasi.
Mzee Aman aliyepata kupelekwa gerezani akiwa na wenzie wengi kina Mdungi Ussi, Jimmy Ringo, Jaha Ubwa , Mzee Mbaba, Alhalifa Misry...Hashim Bahruan , Saleh Master ..
Source : MzeeBarwani
Samia naona anaiga mbinu ovu za Museveni, Abdul za Kainerugaba.
Wasiojulikana yanaonekana kufanywa na watu wanaotoka upande wa pili wa nchi wa uongozi wa nchi, hal
Mkuu nascan vipi nikajionee
Hivi itakuja kutokea Tanzania ikawa na Marais wote wa Tanganyika kama ilivyo sasa hivi wapigiwa mizinga wote katika nchi hii ni wa zanbzibari.Wadanganyika tuungane kwa hili kwa sababu Tanganyika kwa sasa ni kama koloni la zanzibar,
Na ndio maana huyu mwanamke ametuua sana,
Na itaendelea kufanya hivyo kwa sababu wazanzibar hawajawahi kuwapenda wadanganyika daima.