The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,572
- 46,966
"What we observe is not nature itself but nature exposed to our method of questioning."
Unaona jinsi ulivyo mnafiki? Hebu angalia status yako. Nimekuwekea hapo juu usije ukaibadilisha fasta fata.
Nakuwekea pia na picha ya huyo mzungu aliyesema hayo maneno.
Mbona hukuweka quote ya Mjapan? Au nao hawana quotes? Acha unafiki mtu mzima.
Huyo jamaa ana akili ndogo sana hata usipoteze muda wako, jana tunamwambia hii habari imeripotiwa BBC anang'ang'ania eti ni BBC swahili sio international kwa sababu inasomwa na waswahili, sasa hizi media zingine nazo sijui atasemaje. Kwa ufupi haelewi kabisa anachokiandika.