wigo
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 914
- 506
We should publish the Guide book for jf,i
he must be one of the IDIOTS in the system, do not waste ur tm replying his comments.
Call it "The idiot guide to Jamii Forum"
We should publish the Guide book for jf,i
he must be one of the IDIOTS in the system, do not waste ur tm replying his comments.
So stupid guy!!! Sikutegemea kuona kituko kama wewe unaonekana tena na yawezekana hujafunzwa na wazazi wako wote.Limenigusa sana tena sana klk hata unavyodhania ila sijapendezwa na kumuona Mzungu ndiyo suluhisho!
Huyu ni nani? Au huyu ndio yule?By the way hakuna mwafrika aliyewahi kushindana na dunia, uliza Ghadafi aliishia kujificha kwenye calvert la barabarani. Huyu mwenzenu ataaibika zaidi, mwalimu wale Kagame mwenyewe amevua viatu na kumsujudu mzungu seuse huyu asiyejua hata kuongea lugha ya hao wazungu. WTF
barbarosa anahitaji ban ya maisha hana nia njema na melo,mods toa hii kitu
Mkuu, wazungu wanasaidia sana serikali yako. Juzi, undp imetoa magari ya wagonjwa kwa vijiji ambavyo viko mbali za hospitali, hii ni moja ya mikakati ya maendeleo ya kuboresha huduma za afya nchini.Njia mbadala ni sisi kutatua matatizo yetu wenyewe, hili mbona linaongeleka nilivyoona Max hajateswa wala kupigwa ina maana yuko mikono salama ni swala la kukaa na Serikali kutafuta muafaka na inawezekana lkn watu wanavyoanza kuzunguka kwa Wazungu kuisema Serikali hakuna watakachofanikiwa kwani Serikali nao watajibu na mwisho wa siku hakuna mshindi!
Mzungu hajawahi kutatua tatizo la Mwafrika hata siku moja bila kuanzisha lingine kubwa zaidi, hivyo kwangu mimi hii ni ishu ndogo na inazungumzika baina ya sisi wenyewe!
Mnalalamika Magufuli anaminya Uhuru wa kutoa maoni ila nyie wenyewe mnataka member mwenzenu aondolewe kisa maoni yake yanapingana na yenu.Mods ondoa huyu kichaa humu,hawa ndio wanaoichongea jf kwa mabwana zao.ondoa huyu mnafiki humu wakaanzishe ya kwao huko.
Cc mods
Ila wanzungu wakileta mijihela yao sawaaa,wakiwakosoa nongwaaShame on you! Time will tell!
Sasa wewe unatofauti gani na serikali ambayo mnasema haitaki kukosolewa kwa hicho ambacho unataka kifanywe kwa hao members wenye kutofautiana mawazo na wengine humu?nawashauri mods wawaondoe wanafiki wote wanaoshangilia hili jambo kama huyu BARBOSA,ISIS na wengineo,hawa ndio wanaoichongea jf kwa mabwana zao na wanalipwa kwa kazi hii tu.watu wabaya sana hawa!...ni wakua nao makini.
Huo ndiyo Uhuru wa kutoa maoni.Mods huyu dada Barbarosa kwann msitie Bann mana ana kimbelembele sana na kipindi kama hiki hatuhitaji mtu kama huyu humu JF
Sasa wewe ndiyo ungekuwa rais ungevumilia watu wenye kukukosoa?Daaaaah!!
Ivi mtu kama wewe una fanya nini mpaka mda huu JF kwa nini @Mods, Jamii forum mna mwachia uyu kilaza/ kichwa maji aendelee kuchafua hali ya hewa humu ndani?
Si ajabu mijitu ya hivi ndio inayo tuchongea uko kwa wakubwa mtandao wetu pendwa ufungiwe!!
Mi naomba tum report kwa wingi lipigwe Bann tena ile life Ban ili asiendelee kutuletea uozo wake!
Shame on u Dada Barbosa!!
These type of people are called SnitchI wonder what is he doing in-here if he doesn't want people to speak-up to their government, no matter what they say! He should be banned from this forum b'cause he's against the forum's MOTTO "where we dare to talk openly". Mods, do we need these kind of people here esp. in times like these?
Kwa sababu gani?barbarosa anahitaji ban ya maisha hana nia njema na melo,mods toa hii kitu
We mwenyewe unataka mtu apigwe ban kisa mawazo yake yanatofautiana na yenu.Wako wengi sana humu mpaka wanakera.Hivi unapofurahia kijana mwenzako kuteswa au kuuawa sababu tu mnapishana hoja unakuwa na akili kweli??Ni vyema hawa buku 7 wakapigwa pin kwanza
We mwenyewe unataka mtu apigwe ban kisa mawazo yake yanatofautiana na yenu.
Basi we ni sawa serikali ambayo mnasema inataka kusifiwa tu na haitaki maoni ambayo yatawaudhi.Yakiwa mawazo yanayoudhi against Max,huyo lazima apigwe ban tu.HAiwezekani watu wanatetea haki na uhuru wa kujieleza halafu litokee lijitu linapingana kwa kebehi sitomvumilia kwa sasa
Basi we ni sawa serikali ambayo mnasema inataka kusifiwa tu na haitaki maoni ambayo yatawaudhi.
We kama unaona maoni ya member humu hayakupendizi wewe basi vumilia tu maana ndiyo Uhuru wa kutoa maoni huo.