IBTimes: Who is Maxence Melo arrested for not disclosing anonymous sources?

IBTimes: Who is Maxence Melo arrested for not disclosing anonymous sources?

Nimeamini waafrica tunajimalizaga wenyewe tu... Hiyo ndo fact. We just kill eachother in every possible way we can find. Lets be honest, hatutakaa kuwazidi wenzetu because hatuna ile kitu tinaita "real togetherness"... I dont know why we hate eachother this much.
 
Afrika inatakiwa itawaliwe tena.Hatujaweza kujitawala!Ndio maana inadhaniwa kuwa taarifa zikiwafikia wazungu,huenda wakashinikiza kupitia misaada wanayotoa ili uhuru wa kutoa maoni usikandamizwe.Lengo likiwa kupunguza makundi yanayotumia ugaidi kutaka sauti zao zisikike
 
Lol.hiyo internet na vifaa vyote unavyotumia vililetwa na waafrika?JF itakufa iwapo watafanikiwa,kwani ikifika mahali watu hawawezi kutoa maoni yangu kwa dhati hawato shiriki,na watu wengi hawata post barua yeyote ya serikali bila idhini,JF imetukusanya watu tofauti na mawazo tofauti,ukiona serikali huwezi kupambana nao kwa kutumie sheria na mahakama ambaye iko chini ya serikali,ni lazima watu watoe hiyo aibu kwa watu wengine duniani na kuona kinachoendelea huku,hata ndoa yako haiwezi kudumu iwapo mkeo uliomchagua ndiyo anakupangia ya kuzungumza na yakufikiri,JPM namuunga mkono kwa mengi lakini kwa hili simuungi hata kidogo,leo yeye siyo malaika akikosea watu watamsema wapi?iwapo mawaziri,wabunge wanamwogopa?huu ni uhuru wetu na tunatakiwa tuipiganie kwa namna yeyote hata kama haitatufurahisha baadhi lakini JF ni yetu.


Magufuli anahusika na hili? Hii Sheria ilipitushwa na Bunge ambapo Wapinzani walikuwepo sasa iweje uje kumlaumu Raisi kwa utekelezaji wa Sheria halali? Ndiyo maana hata Wazungu wenu wanawapuuzia kwa maana hamna hoja!
 
Hahaha mtapekuwa Dunia nzima leo, lkn mnachokitafuta wala hamtakipata, lkn msife moyo labda Al Jazeera, CNN au hata EU wataacha kushughulika na Brexit waje kutoa live coverage kuhusu jamiiforums!!

Kweli Muafrika ni mtoto wa Muzungu, yaani yote haya ilikusikia tu Mzungu atasema nini, mbona hamuendi kuwaambia Wajapani pia au wao siyo watu?
Halafu cha ajabu sasa labda kuliko vyote, hizo njia mnazopita wajinga wenzenu wa Afrika nzima kama Tsvangigrai, sijui Besigye &Co. walizipita hizo hizo na hakuna kitu walipata, lkn na niyni mnayafanya yale yale walioyafanya wenzenu ingawaje kila mtu anajua kwamba ni matokeo 0!
muda mwingine ni bora unyamaze waweza onekana una busara hata ya kukaa kimya,

usipost hisia zako kudhihirishia umma jinsi gani usivyofikiri
 
Kumbe hili saga lilianza enzi za JK?
 
Hahaha mtapekuwa Dunia nzima leo, lkn mnachokitafuta wala hamtakipata, lkn msife moyo labda Al Jazeera, CNN au hata EU wataacha kushughulika na Brexit waje kutoa live coverage kuhusu jamiiforums!!

Kweli Muafrika ni mtoto wa Muzungu, yaani yote haya ilikusikia tu Mzungu atasema nini, mbona hamuendi kuwaambia Wajapani pia au wao siyo watu?
Halafu cha ajabu sasa labda kuliko vyote, hizo njia mnazopita wajinga wenzenu wa Afrika nzima kama Tsvangigrai, sijui Besigye &Co. walizipita hizo hizo na hakuna kitu walipata, lkn na niyni mnayafanya yale yale walioyafanya wenzenu ingawaje kila mtu anajua kwamba ni matokeo 0!
Bora mhangaika bure kuliko mkaa bure anaye kubali na kuridhika na oppression kwa kisingizio cha hana jinsi. Acha ulimwengu mzima ujue kuhusu udhalimu huu tunaofanyiwa wana wa tanzania, ila hatutoacha kupaza sauti zetu.
 
Hahaha mtapekuwa Dunia nzima leo, lkn mnachokitafuta wala hamtakipata, lkn msife moyo labda Al Jazeera, CNN au hata EU wataacha kushughulika na Brexit waje kutoa live coverage kuhusu jamiiforums!!

Kweli Muafrika ni mtoto wa Muzungu, yaani yote haya ilikusikia tu Mzungu atasema nini, mbona hamuendi kuwaambia Wajapani pia au wao siyo watu?
Halafu cha ajabu sasa labda kuliko vyote, hizo njia mnazopita wajinga wenzenu wa Afrika nzima kama Tsvangigrai, sijui Besigye &Co. walizipita hizo hizo na hakuna kitu walipata, lkn na niyni mnayafanya yale yale walioyafanya wenzenu ingawaje kila mtu anajua kwamba ni matokeo 0!
Aisee, we dogo ni mtu wa namna gani!?!?
Hivi huoni watu wanachokipigania hapa.!
 
Tangu lini jinsia ya mtu ikapimwa kwa huo unaouita unafiki?
Ebu ifikie mahali ufungwe hicho kinywa chako na usome alama za nyakati!! maana hujishutukii tu watu wote wanakushushua wewe hujioni kama una shida.. si ajabu ujasafisha kinywa umekurupukia huku kuandika mashudu yako..!!
 
African man do not talk the way you do,if you really are a man you need a quick transgender fix to reflect your actions..apologise


Kwa hiyo wewe unajua zaidi kuhusu jinsia yangu kuliko mimi mwenyewe? Basi hongera!
 
Ebu ifikie mahali ufungwe hicho kinywa chako na usome alama za nyakati!! maana hujishutukii tu watu wote wanakushushua wewe hujioni kama una shida.. si ajabu ujasafisha kinywa umekurupukia huku kuandika mashudu yako..!!


Hapo sasa!
 
Back
Top Bottom