IBTimes: Who is Maxence Melo arrested for not disclosing anonymous sources?

IBTimes: Who is Maxence Melo arrested for not disclosing anonymous sources?

Guest who read this thread Pope,Trump,musaba,mugabi,.

Mkitaka usalama mwendo uwe English tu
 
Hahaha mtapekuwa Dunia nzima leo, lkn mnachokitafuta wala hamtakipata, lkn msife moyo labda Al Jazeera, CNN au hata EU wataacha kushughulika na Brexit waje kutoa live coverage kuhusu jamiiforums!!

Kweli Muafrika ni mtoto wa Muzungu, yaani yote haya ilikusikia tu Mzungu atasema nini, mbona hamuendi kuwaambia Wajapani pia au wao siyo watu?
Halafu cha ajabu sasa labda kuliko vyote, hizo njia mnazopita wajinga wenzenu wa Afrika nzima kama Tsvangigrai, sijui Besigye &Co. walizipita hizo hizo na hakuna kitu walipata, lkn na niyni mnayafanya yale yale walioyafanya wenzenu ingawaje kila mtu anajua kwamba ni matokeo 0!

By the way hakuna mwafrika aliyewahi kushindana na dunia, uliza Ghadafi aliishia kujificha kwenye calvert la barabarani. Huyu mwenzenu ataaibika zaidi, mwalimu wale Kagame mwenyewe amevua viatu na kumsujudu mzungu seuse huyu asiyejua hata kuongea lugha ya hao wazungu. WTF
 
kabla ya kukosoa haya, ungekuja na njia mbadala kwanza.....


Njia mbadala ni sisi kutatua matatizo yetu wenyewe, hili mbona linaongeleka nilivyoona Max hajateswa wala kupigwa ina maana yuko mikono salama ni swala la kukaa na Serikali kutafuta muafaka na inawezekana lkn watu wanavyoanza kuzunguka kwa Wazungu kuisema Serikali hakuna watakachofanikiwa kwani Serikali nao watajibu na mwisho wa siku hakuna mshindi!

Mzungu hajawahi kutatua tatizo la Mwafrika hata siku moja bila kuanzisha lingine kubwa zaidi, hivyo kwangu mimi hii ni ishu ndogo na inazungumzika baina ya sisi wenyewe!
 
Kitu ambacho sijaweza kukielewa mpaka leo tangu utawala huu uingie madarakani ni kwanini utawala huu unaogopa mno social media kama kweli ni utawala dhidi ya ufisadi na ni utawala unajinadi kuwa ni wa kuwatetea wanyonge? Mbona mimi naona kama social media ni chanzo kizuri sana cha taarifa ambazo serikali inaweza kuzitumia kupambana na ufisadi na kuwaletea hao wanyonge maendeleo? Mimi nadhani ingekuwa nchi zilizoendelea Max Mello na wenzake wangekuwa wanatajwa mpaka kwenye hotuba za Rais kwa kuwa chachu ya maendeleo kupitia social media. Wenzetu huko Marekani Mark Zukerberg founder wa Facebook, founders wa Twitter, WhatsApp etc wanatajwa kama mifano ya maendeleo. Sisi tunawakamata wakina Max tunawaweka rumande, tunawanyima dhamana etc. Hivi tuna nini sisi?
 
By the way hakuna mwafrika aliyewahi kushindana na dunia, uliza Ghadafi aliishia kujificha kwenye calvert la barabarani. Huyu mwenzenu ataaibika zaidi, mwalimu wale Kagame mwenyewe amevua viatu na kumsujudu mzungu seuse huyu asiyejua hata kuongea lugha ya hao wazungu. WTF


Lkn mwisho wa siku tutapoteza wote kama unachukulia Libya au Iraki kama mfano hivyo hata hicho unachotaka kukipata hautakipata lkn ukizungumza na kutambua na kuheshimu Mamlaka ikiyopo uwezekano wa kufika mbali ni mkubwa!
Haya mambo hayataki hasira Serikali na Raisi wa JMTZ ndo walioshika mpini na huo ndio ukweli!

Hakuna mtu amepata negative press kama Mugabe lkn hao akina Tsvangirai wako leo hii? Wazungu wenyewe wameshawapotezea ...
 
Hahaha mtapekuwa Dunia nzima leo, lkn mnachokitafuta wala hamtakipata, lkn msife moyo labda Al Jazeera, CNN au hata EU wataacha kushughulika na Brexit waje kutoa live coverage kuhusu jamiiforums!!

Kweli Muafrika ni mtoto wa Muzungu, yaani yote haya ilikusikia tu Mzungu atasema nini, mbona hamuendi kuwaambia Wajapani pia au wao siyo watu?
Halafu cha ajabu sasa labda kuliko vyote, hizo njia mnazopita wajinga wenzenu wa Afrika nzima kama Tsvangigrai, sijui Besigye &Co. walizipita hizo hizo na hakuna kitu walipata, lkn na niyni mnayafanya yale yale walioyafanya wenzenu ingawaje kila mtu anajua kwamba ni matokeo 0!
you can be so biased but this is our tanzania
 
You've got to be the dumbest JF member of them all!!!
I wonder what is he doing in-here if he doesn't want people to speak-up to their government, no matter what they say! He should be banned from this forum b'cause he's against the forum's MOTTO "where we dare to talk openly". Mods, do we need these kind of people here esp. in times like these?
 
Lkn mwisho wa siku tutapoteza wote kama unachukulia Libya au Iraki kama mfano hivyo hata hicho unachotaka kukipata hautakipata lkn ukizungumza na kutambua na kuheshimu Mamlaka ikiyopo uwezekano wa kufika mbali ni mkubwa!
Haya mambo hayataki hasira Serikali na Raisi wa JMTZ ndo walioshika mpini na huo ndio ukweli!

Hakuna mtu amepata negative press kama Mugabe lkn hao akina Tsvangirai wako leo hii? Wazungu wenyewe wameshawapotezea ...
Hii nchi ni yetu sote lazima kwenye ukweli tuseme na kwenye sifa tusifie. Critics ndio wanaojenga. Huyu mtawala anayewapa vyeo nyie mnaojikomba na kumlamba miguu na kuwatesa kwa kuwaweka jela wale wanaomkosoa anatengeneza mazingira kuwa siku akikwapua mali ya watanzania na kuifanya yake hakuna wa kumkosoa. Nyie walamba miguu kwa vile mtataka kujikomba mkombolewe mtaishia kusifia. Lakini pia aliikuta nchi imeendelea kidemokrasia na kulikuwa na uhuru wa kujieleza kwa hiyo kazi anayoifanya ni ngumu kwa vile tuliishaonjeshwa uhuru wa kujieleza kabla yake. Sasa nyie walamba miguu hamumsaidii huyu mtawala kwa vile staili yake ya utawala itadidimiza nchi na kuua uchumi. Sisi wachapakazi, sisi tunaokomaa shambani kila siku kutafuta mkate na ada za watoto kwa njia za halali tunastahili kuongozwa na utawala unaojali haki za raia na uhuru wa kujieleza ili kuruhusu ukuaji wa kiuchumi. Negative publicity anazotusababishia huyu jamaa zinafukuza wawekezaji, mimi nikiuza mchicha wangu kwa mzungu au hotel kubwa napiga hela zaidi. Hata huko Zimbabwe waliopoteza sio akina Tvangirai, watu wote wenye options walikimbia na sasa wazimbabwe wametapakaa Afrika nzima na dunia, wajinga wajinga kama wewe wasio na option ndio wamebaki wanateseka Zim. Mimi naweza kwenda kukodi ekari tano Zambia na kufunga drip zangu nazalisha huko huko, je wewe utaenda kumkatia viuno nani nje ya Tanzania?
 
If the past administration with a (Nice Mkulu) dubbed JF and the whole freedom of speech platform as Enemy of State for being anti-government by speaking up, I can't imagine what 'This Mkulu' will do with the so called, 'Enemy of the State'

..Feel like African North-Korean already. Crazy!
 
Hahaha mtapekuwa Dunia nzima leo, lkn mnachokitafuta wala hamtakipata, lkn msife moyo labda Al Jazeera, CNN au hata EU wataacha kushughulika na Brexit waje kutoa live coverage kuhusu jamiiforums!!

Kweli Muafrika ni mtoto wa Muzungu, yaani yote haya ilikusikia tu Mzungu atasema nini, mbona hamuendi kuwaambia Wajapani pia au wao siyo watu?
Halafu cha ajabu sasa labda kuliko vyote, hizo njia mnazopita wajinga wenzenu wa Afrika nzima kama Tsvangigrai, sijui Besigye &Co. walizipita hizo hizo na hakuna kitu walipata, lkn na niyni mnayafanya yale yale walioyafanya wenzenu ingawaje kila mtu anajua kwamba ni matokeo 0!
kula like mkuu. inahitaji unafiki wa hali ya juu kufanya unachofanya. Shetani atakuwa anasema ''that's my boy!''
 
Back
Top Bottom