Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,838
Aisee, we dogo ni mtu wa namna gani!?!?
Hivi huoni watu wanachokipigania hapa.!
Mimi naona wanapigania kuwa Watumwa wa Mzungu tu, hakuna kingine!
Aisee, we dogo ni mtu wa namna gani!?!?
Hivi huoni watu wanachokipigania hapa.!
Jinga sana hilo,Lol.hiyo internet na vifaa vyote unavyotumia vililetwa na waafrika?JF itakufa iwapo watafanikiwa,kwani ikifika mahali watu hawawezi kutoa maoni yangu kwa dhati hawato shiriki,na watu wengi hawata post barua yeyote ya serikali bila idhini,JF imetukusanya watu tofauti na mawazo tofauti,ukiona serikali huwezi kupambana nao kwa kutumie sheria na mahakama ambaye iko chini ya serikali,ni lazima watu watoe hiyo aibu kwa watu wengine duniani na kuona kinachoendelea huku,hata ndoa yako haiwezi kudumu iwapo mkeo uliomchagua ndiyo anakupangia ya kuzungumza na yakufikiri,JPM namuunga mkono kwa mengi lakini kwa hili simuungi hata kidogo,leo yeye siyo malaika akikosea watu watamsema wapi?iwapo mawaziri,wabunge wanamwogopa?huu ni uhuru wetu na tunatakiwa tuipiganie kwa namna yeyote hata kama haitatufurahisha baadhi lakini JF ni yetu.
Bora mhangaika bure kuliko mkaa bure anaye kubali na kuridhika na oppression kwa kisingizio cha hana jinsi. Acha ulimwengu mzima ujue kuhusu udhalimu huu tunaofanyiwa wana wa tanzania, ila hatutoacha kupaza sauti zetu.
Gisenyi wazima huko?Najua ndiyo maana nimejitoa!
Hatuna AKILI TIMAMUKitu ambacho sijaweza kukielewa mpaka leo tangu utawala huu uingie madarakani ni kwanini utawala huu unaogopa mno social media kama kweli ni utawala dhidi ya ufisadi na ni utawala unajinadi kuwa ni wa kuwatetea wanyonge? Mbona mimi naona kama social media ni chanzo kizuri sana cha taarifa ambazo serikali inaweza kuzitumia kupambana na ufisadi na kuwaletea hao wanyonge maendeleo? Mimi nadhani ingekuwa nchi zilizoendelea Max Mello na wenzake wangekuwa wanatajwa mpaka kwenye hotuba za Rais kwa kuwa chachu ya maendeleo kupitia social media. Wenzetu huko Marekani Mark Zukerberg founder wa Facebook, founders wa Twitter, WhatsApp etc wanatajwa kama mifano ya maendeleo. Sisi tunawakamata wakina Max tunawaweka rumande, tunawanyima dhamana etc. Hivi tuna nini sisi?
Bahati mbaya hata zikisikika, mwisho wa yote inaangaliwa sheria za nchi zinasemaje. Ukweli ni kwamba sisi watumiaji wa JF tunaposhindwa kuitumia JF kwa misingi ya haki, usawa, utu na ukweli matokeo yake ndio haya. Binafsi simlaumu Maxence wala Serikali, bali nawalaumu watu wanaoona JF ni kijiwe cha matusi, uzushi na uongo kwa sababu tu wana access ya kuficha identity zao halisi. Binafsi nimetukanwa sana na watu humu hadi nilifika mahali nikataka niache JF. Nakumbuka miaka ya 2010 kurudi nyuma ilikuwa mtu kabla hujapot JF unajitafakari sana kama je hoja yako ina uzito na ukweli? Na hapo ndipo ilikuwa ile mantiki ya JF A HOME OF GREAT THINKERS. Nimekuwa mdau wa JF tangu kabla haijaitwa Jamii Forum, ila ilinichukua muda kujisajili kwa sababu nilijiona bado sina uwezo wa kupost hoja kama walizokuwa wanapost members wa kipindi hicho. Na wala JF haikuwa na matusi, ilikuwa ni hoja kwa hoja tena watu wakidai ushahidi, usipotoa ushahidi BAN ilikuwa inakuhusu. Hii JF ya sasa hivi utoto ni mwingi kuliko GREAT THINKERSBora sauti zisikike pote duniani
Wamezidi unyanyasaji.
Never Give Up Maxence
The whole heaven and Gods are with you
Who cares?
Hapana watu wanapigania maslahi ya taifa lao. Taifa ambalo watu hawawezi ku-express hasira yao, maumivu yao, mawazo yao nk vifua vikijaa huamua kutumia njia mbadala.... Na watu wakifika huko nobody will be safe. Hata wewe keyboard warrior hutakua salama.Mimi naona wanapigania kuwa Watumwa wa Mzungu tu, hakuna kingine!
Hapana watu wanapigania maslahi ya taifa lao. Taifa ambalo watu hawawezi ku-express hasira yao, maumivu yao, mawazo yao nk vifua vikijaa huamua kutumia njia mbadala.... Na watu wakifika huko nobody will be safe. Hata wewe keyboard warrior hutakua salama.
Mataifa yote yanayo kandamiza uhuru wa kujieleza yapo kwenye chaos either economical, political au social. Kwa hiyo for once tumia vizuri kichwa chako, Mola hakukiweka juu ya mabega kwa bahati mbaya.
Alitaka uone beyond what you see.
Usiwakwaze watu bhana... Ni haki yako kutoa maoni yako na inawezekana ni mazuri sema timing yako ni mbaya.
Unless otherwise na wewe UNATANIA kama kawaida ya mtaa wa saba.
Shame on you! Time will tell!
Hapana watu wanapigania maslahi ya taifa lao. Taifa ambalo watu hawawezi ku-express hasira yao, maumivu yao, mawazo yao nk vifua vikijaa huamua kutumia njia mbadala.... Na watu wakifika huko nobody will be safe. Hata wewe keyboard warrior hutakua salama.
Mataifa yote yanayo kandamiza uhuru wa kujieleza yapo kwenye chaos either economical, political au social. Kwa hiyo for once tumia vizuri kichwa chako, Mola hakukiweka juu ya mabega kwa bahati mbaya.
Alitaka uone beyond what you see.
Usiwakwaze watu bhana... Ni haki yako kutoa maoni yako na inawezekana ni mazuri sema timing yako ni mbaya.
Unless otherwise na wewe UNATANIA kama kawaida ya mtaa wa saba.
Good pointKitu ambacho sijaweza kukielewa mpaka leo tangu utawala huu uingie madarakani ni kwanini utawala huu unaogopa mno social media kama kweli ni utawala dhidi ya ufisadi na ni utawala unajinadi kuwa ni wa kuwatetea wanyonge? Mbona mimi naona kama social media ni chanzo kizuri sana cha taarifa ambazo serikali inaweza kuzitumia kupambana na ufisadi na kuwaletea hao wanyonge maendeleo? Mimi nadhani ingekuwa nchi zilizoendelea Max Mello na wenzake wangekuwa wanatajwa mpaka kwenye hotuba za Rais kwa kuwa chachu ya maendeleo kupitia social media. Wenzetu huko Marekani Mark Zukerberg founder wa Facebook, founders wa Twitter, WhatsApp etc wanatajwa kama mifano ya maendeleo. Sisi tunawakamata wakina Max tunawaweka rumande, tunawanyima dhamana etc. Hivi tuna nini sisi?
Hapana ndugu yangu sijausikiliza, Ila akhsante sikujua kama huyu mdau ni chizi... Ngoja niendelee na kazi nyingine.Kaka umeuzikiliza wimbo wa 'Darasa'? na quote kidogo amesema.....'Usimwelimishe CHIZI utapoteza muda wako...' Mwisho wa kunukuu.Hao ni wale waliolewa pesa za serikali na wizi wa serikalini
Inaonekana unafahamu mengi sana wewe, embu anza kwa kutuambia hivi zabuni za kusupply scanners za bandari, vitanda vya muhimbili na ujenzi wa barabara kuanzia morocco mpaka mwenge ni kampuni gani zilishinda?Lakini haijawahi kusaidia kitu, kama kuna chochote cha kujifunza basi mngejifunza kwa Maalimu Seifu amezunguka Miji Mikuu ya Wazungu karibia yote kutaka Nchi yetu iwekewe vikwazo na Wazungu, na nini kimetokea? Sasa hivi kajichokea kaamua kukaa zake nyumbani!
Mkuu Barbarosa,Njia mbadala ni sisi kutatua matatizo yetu wenyewe, hili mbona linaongeleka nilivyoona Max hajateswa wala kupigwa ina maana yuko mikono salama ni swala la kukaa na Serikali kutafuta muafaka na inawezekana lkn watu wanavyoanza kuzunguka kwa Wazungu kuisema Serikali hakuna watakachofanikiwa kwani Serikali nao watajibu na mwisho wa siku hakuna mshindi!
Mzungu hajawahi kutatua tatizo la Mwafrika hata siku moja bila kuanzisha lingine kubwa zaidi, hivyo kwangu mimi hii ni ishu ndogo na inazungumzika baina ya sisi wenyewe!