Albaab
JF-Expert Member
- Jun 6, 2015
- 1,606
- 2,282
Jamaa kama vile wanamcheki kwa unyonge wa kinafki, nahisi wanamdharau. Awafyekelee mbali kama itastahiliWanajamvi, picha huongea mengi.
Moja Kati ya picha nzuri kwa Leo ni hii.
Je ukiiangalia inakupa ujumbe gani?
Long live Madam President,,, yaani ni Kama ulijiandaa kuishika nafasi hii na wala hujasukumizwa Wallah.View attachment 1736932