The Icebreaker
Platinum Member
- Apr 24, 2014
- 38,376
- 118,965
Unyenyekevu
Ndugai lazima homa irudi sio kwa kunyong'onyea hukoKuna watu wamenuna hukoView attachment 1737019
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna watu wamenuna hukoView attachment 1737019
Hivi hili neno "Legacy" mnalitumia, mnajua maana yake kweli?Legacy keshaweka CCM alama ambayo haitafutika. Vijana watamtafuta hata kama wenzangu na mie akina asante Kikwete mkimpiga vita kwa kumuandama sababu ya uwezo wake.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Namuona Dr. Bashiru Kama anaomba aachwe ofisini walau apate mishahara mitatu ili salary slip azitumie kuchukulia mkopo NMB
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Siasa noma. Dk moja unarudi majalalani..
Poa poa Dominatrix Wangari.Binafsi Najiskiaga raha sana kumuongoza mwanaume..iwavyo vyovyote vile
Waoow... are you Politician?The expressions on the faces of the two “people“ who are facing The President?!
The fording of their hands forward toward their genitalia for one?! And stomach area for the other?!
The bitterness aura portrayed?!
Hebu wataalamu wa body language mtusaidie tusiojua!
Huyo mwingine ni Prof. Alderadus Kilangi, Mwanasheria Mkuu wa Serikali.Mbona mnamsema Bashiru tu huyo mwenzie ni nani na ana wadhifa gani serikalini?
Na nilisha sema kuhusu Dr Bashiru mnyenyekevu asiye yumbishwa na JPM alifanya naye kazi akilijua hilo, picha inanena mengi kuliko maneno.
Bashiru kawa piriton, mama usiwaache hivi ndiyo virusi ondoaWanajamvi, picha huongea mengi.
Moja Kati ya picha nzuri kwa Leo ni hii.
Je ukiiangalia inakupa ujumbe gani?
Long live Madam President,,, yaani ni Kama ulijiandaa kuishika nafasi hii na wala hujasukumizwa Wallah.View attachment 1736932
Hahahahaaa....hayo yako... kuna raha balaa site hizo🤣🤣Poa poa Dominatrix Wangari.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Xenkiu very machiNimekuelewa mama!
Waoow... are you Politician?
Iam a front woman🥰Poa poa Dominatrix Wangari.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Princess you are the Champion...No Chief!
Mimi binafsi nimekuelewa vizuri.Iam a front woman🥰
Mkuu weka mahesabu yako sawa then urudi kwenye biashara zako, usije ukajiambia 'its too late'. Never.Mkuu umenitoa machozi kwa kweli katika makosa ambayo nimeyafanya maishani mwangu na haya ya kuajiriwa na Serikali niliacha biashara zangu,nikaacha private kiss ajira za Serikali sasa hivi najuta.but nitarekebisha haya makosa.