Iangalie picha hii halafu toa ujumbe ulioupata

Iangalie picha hii halafu toa ujumbe ulioupata

Namuona Dr. Bashiru Kama anaomba aachwe ofisini walau apate mishahara mitatu ili salary slip azitumie kuchukulia mkopo NMB
Mkuu umenitoa machozi kwa kweli katika makosa ambayo nimeyafanya maishani mwangu na haya ya kuajiriwa na Serikali niliacha biashara zangu,nikaacha private kiss ajira za Serikali sasa hivi najuta.but nitarekebisha haya makosa.
 
Wanajamvi, picha huongea mengi.
Moja Kati ya picha nzuri kwa Leo ni hii.

Je ukiiangalia inakupa ujumbe gani?

Long live Madam President,,, yaani ni Kama ulijiandaa kuishika nafasi hii na wala hujasukumizwa Wallah.View attachment 1736932
Kuna watu wamenuna huko
Screenshot_20210328-201944.png
 
Hii picha hata mimi tangu mchana niliiangalia vizuri kwa umakini haswa hao wawili wanaomsikiliza amiri jeshi mkuu...haswa haswa huyo KMK alivyokaa kiutiifu[emoji16][emoji16][emoji119]
 
Wanajamvi, picha huongea mengi.
Moja Kati ya picha nzuri kwa Leo ni hii.

Je ukiiangalia inakupa ujumbe gani?

Long live Madam President,,, yaani ni Kama ulijiandaa kuishika nafasi hii na wala hujasukumizwa Wallah.View attachment 1736932
Haahaaaaa....hii picha ni kiboko!!!
Mmoja' (angalia mikono inazuia vurugu za ngoma?!) anajiuliza angefanyaje akutane na huyu mrembo kichochoroni amuimbishe!
Mwingine, anawaza 'aaaagggrrrrrrr imekuwaje mimi niliyetolewa jalalani sijakalia hicho kiti?!
 
Hana kazi tena huyo huo unyenyekevu akaufanyie udsm

Legacy keshaweka CCM alama ambayo haitafutika. Vijana watamtafuta hata kama wenzangu na mie akina asante Kikwete mkimpiga vita kwa kumuandama sababu ya uwezo wake.
 
Apo wapo kama watuhumiwa ama wana somewa mashitaka mazito ya mtu mwingine waliye taka kumsaidia ila wamegundua hakuna namna ya kuchomoka hapo!
Msimamo wa Mama umekuwa mkubwa sana wa 5G kwenye suala hilo gum na hakuna namna ambao Mama anaonyesha atabadili alicho simamia!
Nina hakika na tafsiri yangu
 
Dr Bashiru ni mchapa kazi ukiachana na siasa za wakina Kigogo. Cha msingi anapaswa kubadilika mtazamo na msimamo wake wa Kisiasa. Ujamaa haupo na wala hauna nafasi katika Dunia hii.
 
Watu wanamtafsiri tofauti Bashiru....
huyo ni majamaa hawezi iba mali ya uma...
kumbuka ni hv majuzi tu alikuwa kwenye tume ya kupambana na kurudisha mali ya chama cha mapinduzi na amefanikiwa......
mifisadi imeanza kumchafua acheni uchunguzi ufanyike........
 
Back
Top Bottom