Iangalie picha hii halafu toa ujumbe ulioupata

Iangalie picha hii halafu toa ujumbe ulioupata

Yani apo wana wazaa sana ile kauli ya jeshi Mheshimiwa tuta kulinda na tuna kuunga mkono! Na mipaka ipo salama!
Kwani kuna aliye taka kutoroka adi ataje mipaka!

Huyo CDF na wakuu wenzake kwa staili hii nao watakuwa wanang'ong'wa tu wakisubiria wajipange wa wale vichwa na wasijidanganye.
 
Namwona bashiru anavyojiweka karibu na kujinyenyekeza kwa mama kulinda kitumbua chake kisiingie mchanga. Amejikausha utadhani sio anayetaratibu mipango ya burigi gang.Hahaha!!
 
Nasikia zaidi ya bilioni 180 zimekwapuliwa kwenye kibubu zikidaiwa ni kwa ajili ya kununua vifaa vya matibabu ya mzee wa nzengo, ili hali mwananzengo alishatutupa mkono, naomba kuuliza mkwapuaji yupo kwenye hiyo picha?
 
Huyo CDF na wakuu wenzake kwa staili hii nao watakuwa wanang'ong'wa tu wakisubiria wajipange wa wale vichwa na wasijidanganye.
Hakuna mamlaka inayo chezeaga jeshi mkuu jeshi ndio kila kitu wale wana utii wa 100% wanaweza kutulaza giza ndani ya sekunde wapo kamili kila idara
 
Moja ameshuka tumbo,mwingine kashika viungo vya uzazi.... Hahaha Dr Bashiru sijui anamchukulia vipi madam President....,jamaa ametoka huko mto ngono
Sijui huwa mnawaza nini😄😄😄
 
Bashiru kama anaficha kitu kwa kutaka amiri asimharibie.. Anamsikiliza kwa utiifu wa hali ya juu
 
Back
Top Bottom