Eng. Smasher
JF-Expert Member
- Nov 13, 2010
- 745
- 23
- Thread starter
- #21
Teh teh teh!!SURA NZURI unasema inaleta kichefuchefu!!! Sema kama unaitamani,mimi dili mtaani kwe2 kwa mabinti kama wewe, tatizo hapa unanichukulia kama mtoto hapo enzi za utoto ngoja nije niweke ya Ukubwani kama hutonitafuta!!!
Mwasu inaleta kama kichefuchefu vile na hayo mambo ya kudo kwenye guta ndo kabisa