I wish kudu sex juu ya guta!!!!!!!

Teh teh teh!!SURA NZURI unasema inaleta kichefuchefu!!! Sema kama unaitamani,mimi dili mtaani kwe2 kwa mabinti kama wewe, tatizo hapa unanichukulia kama mtoto hapo enzi za utoto ngoja nije niweke ya Ukubwani kama hutonitafuta!!!

Mwasu inaleta kama kichefuchefu vile na hayo mambo ya kudo kwenye guta ndo kabisa
 
Isue za ubakaji zmeingia vipi tena hapa??!!! watanzania kwa kuongeza chumvi???

Jamani mi hapa sijaona nimepita tu tutaonana huko

Etiii halafuuu ubakaji hautaisha kiurahisi na piaaa kama tukiendelea hivi tutakwisha na ukimwi yatabaki masufuria na vijiko
 
Hayo kuna wa2 tayari wanayajadili kuhusu Engine na Modification zenyewe ndo hizi mkuu GUTA kuwa KITANDA imekaa vipi hii??!!
Pia cjazini na huyo dada mimi mawazo yangu yalikuwa kwenye GUTA na KITANDA huyo dada nilikuwa nampima urefu 2!!
jaman napenda sura yako
dah ata km atutaoana lakin mi nipe mbegu tu jaman nipate fotokop yako mwaya...utanipa mbegu?
 
jaman napenda sura yako
dah ata km atutaoana lakin mi nipe mbegu tu jaman nipate fotokop yako mwaya...utanipa mbegu?

Huu ndo uzuri wa Rose, hujuagi kumnyima mtu bana!!!
ubarikiwe shostito!!!!!!!!
 
Kwahilo usihofu kabisa I hope product itayotoka hapo itakuwa balaa!! Hilo tabasamu lako 2 mimi hoi pls acha kukonyeza bac!!

jaman napenda sura yako
dah ata km atutaoana lakin mi nipe mbegu tu jaman nipate fotokop yako mwaya...utanipa mbegu?
 
Engineer Smasher
"When I am afraid,I will trust in you ( Lord)" Ps 56:3
 
Mambo vipi wana JF!!
Ni siku nyingine tena ya Alhamis tulivu kwangu!! Wakati nakuja kwa ofisi mara ikapita GUTA kuna dada mmoja kakaa juu yake na mizigo yake michache,I think alikuwa anawahishwa kwenye mihangaiko yake na huyo jamaa!
Nikaanza kudadis hivi hii GUTA imekaa kama kitanda vile,hapo ni kuweka GODORO na kuanza kudu mambo ye2 yale,nikawa nawaza yule dada kalala juu ya GUTA,urefu safi kabisa,upana kwa wanandoa unatosha,tairi za nyuma zipo fresh ni kuweka kitu cha kuzuia movement 2!!
Jamani kwa watu kama mimi unaona kitanda gharama ha2wez kutengeneza GUTA ikawa 2 in 1 i.e mchana inapiga mzigo na ucku kitanda???? I wish nidu sex na mwenzi wangu juu ya GUTA ili niweze kuleta hii research fresh!!!!!

"You are real a great thinker", the reverse of this statement is also true!!!!!!!!
 
Mh!mbona umeenda mbali sana!kwa nini unawaza ngono tu!kwa nini usiwaze namna ya kuiboresha guta ibebe mizigo mingi zaidi na kupunguza utumiaji wa nguvu nyingi za binadamu wakati wa kuiendesha?

Huyu Engineer anasahau kuwa hatuna barabara za kutosha, hatuna maji ya kutosha,miji imekaa yote kama inafuata nyayo za manzese kwa kukosa plan, hatuna kilimo cha kueleweka yaani list haitakaa kuisha. Sasa ngono of all the things is the last thing to do.We want to become inovative in doing ngono but not development. Hao ndio wahandisi wa Tanzania.Wengi wanafanana na wa..nisi. Hawana lolote la kuongoza ni kupenda kujisifia tu. Am sorry to say that!!!!
 
Huyu Engineer anasahau kuwa hatuna barabara za kutosha, hatuna maji ya kutosha,miji imekaa yote kama inafuata nyayo za manzese kwa kukosa plan, hatuna kilimo cha kueleweka yaani list haitakaa kuisha. Sasa ngono of all the things is the last thing to do.We want to become inovative in doing ngono but not development. Hao ndio wahandisi wa Tanzania.Wengi wanafanana na wa..nisi. Hawana lolote la kuongoza ni kupenda kujisifia tu. Am sorry to say that!!!!

Mkuu, injinia hajatoa hili wazo bungeni au kwenye kikao cha baraza la mawaziri ambapo at least mawazo yanaweza kuleta mabadiliko...yeye amekuja huku kama sehemu ya kurelax tuu...hata pamoja na makelele mengi ambayo 'great thinkers' wameyapiga huko kwenye majukwaa ya blabla na politics, bado barabara zinatolewa lami na kuwekwa lami, zinatolewa vumbi na kuwekwa vumbi

Lets relax kwa kubuni guta inayoweza kutumiwa kama chombo cha usafiri mchana, na kitanda usiku......MMU talk
 
BIG THANKS!! Hapo umenena mkuu hayo yote yanafanyika na yanapigiwa kelele kila siku, Nani ambaye hapendi NGONO??
Lazima 2relax baada ya kazi zote ndo maana nimeangalia 2relax vipi?? Ndo nikaja na hiyo idea!!

Mkuu, injinia hajatoa hili wazo bungeni au kwenye kikao cha baraza la mawaziri ambapo at least mawazo yanaweza kuleta mabadiliko...yeye amekuja huku kama sehemu ya kurelax tuu...hata pamoja na makelele mengi ambayo 'great thinkers' wameyapiga huko kwenye majukwaa ya blabla na politics, bado barabara zinatolewa lami na kuwekwa lami, zinatolewa vumbi na kuwekwa vumbi

Lets relax kwa kubuni guta inayoweza kutumiwa kama chombo cha usafiri mchana, na kitanda usiku......MMU talk
 
Hayo kuna wa2 tayari wanayajadili kuhusu Engine na Modification zenyewe ndo hizi mkuu GUTA kuwa KITANDA imekaa vipi hii??!!
Pia cjazini na huyo dada mimi mawazo yangu yalikuwa kwenye GUTA na KITANDA huyo dada nilikuwa nampima urefu 2!!





Wewe kweli ni engineer?Hebu jaribu kutazama muda uliotuma hii post yako kisha ujiulize kama kweli ungekuwa unajali kazi yako ungekuwa uko wapi na unafanya nini sasa hivi?
 
Teh teh teh!!! Hivi jaman hamuoni kuwa hii ni NEW IDEA??? Ni kweli mimi ni Engineer,gesigning sio lazima vyuma 2 hata huku kwenye kuliwazana 2po mkuu!!!

Wewe kweli ni engineer?Hebu jaribu kutazama muda uliotuma hii post yako kisha ujiulize kama kweli ungekuwa unajali kazi yako ungekuwa uko wapi na unafanya nini sasa hivi?
 
Back
Top Bottom