I wish I had a husband already

I wish I had a husband already

Kaka mtandaoni hakuna tofauti na kituo cha basi ama sokoni. Unaweza kukutana na watu wema tu na mkawa ndugu ama wapenzi kabisa.

Tatizo lenu vijana ni pupa. Hamuwezi kukutana leo mkapendana kesho, yafaa muwe marafiki kwanza kabla ya wapenzi
Yaan me siaminigi hawa wanaoutafuta wapenzi mitandaoni..
Huko nje kote umekosa
 
Nnae mmoja kila dk anaita hubby mie nacheka tu maana najua sina lengo kabisa. nisameheni wakuu

Kama jamaa anapata migegedo tumekusamehe, hilo Lengo peleka kwenye biashara nayeye anakuchora tu ili uendelee kumpa papuch..
 
Sijapata aliekidhi vigezo sitaki kuwa na mume ilimradi ni mwanaume I want a husband atakae nitia hamasa ya kufanya nae mapenzi kila ninapomuona au kumfikiria sasa akiwa mfupi siwezi kulowana kabisaaaa

Na hauwezi kupata, Labda umuumbe wa kwako..

Hapo ni sawa na kumkumbuka mtu usiye mjua
see you at 40's
 
How I wish I had a husband jamani nimechoka kuwa mpweke. Usiku kama huu I have no one to cuddle with in bed just holding my pillow imaging it as a man.

Yan wanaume wa kuoa wapo ila kimbembe mpaka umpate atakae kuvutia. Just like me here I get approached with a lot of men but sijaona alienivutia wengi ni wafupi halafu mimi napenda wale walioenda hewani. Sasa jamani na umri huu nikiendelea kuchagua si nitafika 30 sina dalili ya kuolewa oohh God help. At this age I wish I had 2kids and a lovely husband but non has happened no kids no husband.

Dear future hubby popote ulipo nakuita uje kwa jina la Yesu tuanze mipango ya ndoa yetu mwakani muda kama huu niwe na ujauzito wa miezi mitano for our first born.

Dear hubby I promise to love you to hell like no one ever did before, I will care for you, cook for you, take you for a bath in the morning, wash your clothes, pray for you, love your family, help you financially, give you good sex anytime you need etc.
My lovely husband your future wife needs you now she is so tired of sleeping alone.

Nakupenda mume wangu mtarajiwa naamini kabisa utakua hukuhuku Jf umejifucha tu.
Sisi warefu hua atuoi waliozidi miaka 30 kwani wengi wametumika sana
 
I have read three times only this phrase..." give you good sex anytime you need...."

Sijui kwa nini.....!!
 
Bado hujaanza kutafuta mume... siku ukianza kutafuta mume haitoisha week utampata. Sasa hivi unatafuta mtu wa kula nae maisha.
 
Back
Top Bottom