King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,866
- 24,976
Kaka mtandaoni hakuna tofauti na kituo cha basi ama sokoni. Unaweza kukutana na watu wema tu na mkawa ndugu ama wapenzi kabisa.
Tatizo lenu vijana ni pupa. Hamuwezi kukutana leo mkapendana kesho, yafaa muwe marafiki kwanza kabla ya wapenzi
Tatizo lenu vijana ni pupa. Hamuwezi kukutana leo mkapendana kesho, yafaa muwe marafiki kwanza kabla ya wapenzi
Yaan me siaminigi hawa wanaoutafuta wapenzi mitandaoni..
Huko nje kote umekosa