I wish I had a husband already

I wish I had a husband already

How I wish I had a husband jamani nimechoka kuwa mpweke. Usiku kama huu I have no one to cuddle with in bed just holding my pillow imaging it as a man.

Yan wanaume wa kuoa wapo ila kimbembe mpaka umpate atakae kuvutia. Just like me here I get approached with a lot of men but sijaona alienivutia wengi ni wafupi halafu mimi napenda wale walioenda hewani. Sasa jamani na umri huu nikiendelea kuchagua si nitafika 30 sina dalili ya kuolewa oohh God help. At this age I wish I had 2kids and a lovely husband but non has happened no kids no husband.

Dear future hubby popote ulipo nakuita uje kwa jina la Yesu tuanze mipango ya ndoa yetu mwakani muda kama huu niwe na ujauzito wa miezi mitano for our first born.

Dear hubby I promise to love you to hell like no one ever did before, I will care for you, cook for you, take you for a bath in the morning, wash your clothes, pray for you, love your family, help you financially, give you good sex anytime you need etc.
My lovely husband your future wife needs you now she is so tired of sleeping alone.

Nakupenda mume wangu mtarajiwa naamini kabisa utakua hukuhuku Jf umejifucha tu.
Sijui ni lini utaelewa kuwa Mungu hakupi unachotamani bali unachostahili.

Ni hivi kabla ya kuweka vigezo vya unaetaka kuolewa nae inabidi uangalie ni wanaume wa design gani wanavutiwa kuwa na wewe. Kwa ufupi ukiona hutongozwi na wanaume unaotamani kuwa nao basi jua hustahili kuwa nao.

Ni hivi hutaishia miaka 30 tu ukiwa single; utazeeka halafu utakufa ukiwa single kama hutabadili mtazamo.
 
How I wish I had a husband jamani nimechoka kuwa mpweke. Usiku kama huu I have no one to cuddle with in bed just holding my pillow imaging it as a man.

Yan wanaume wa kuoa wapo ila kimbembe mpaka umpate atakae kuvutia. Just like me here I get approached with a lot of men but sijaona alienivutia wengi ni wafupi halafu mimi napenda wale walioenda hewani. Sasa jamani na umri huu nikiendelea kuchagua si nitafika 30 sina dalili ya kuolewa oohh God help. At this age I wish I had 2kids and a lovely husband but non has happened no kids no husband.

Dear future hubby popote ulipo nakuita uje kwa jina la Yesu tuanze mipango ya ndoa yetu mwakani muda kama huu niwe na ujauzito wa miezi mitano for our first born.

Dear hubby I promise to love you to hell like no one ever did before, I will care for you, cook for you, take you for a bath in the morning, wash your clothes, pray for you, love your family, help you financially, give you good sex anytime you need etc.
My lovely husband your future wife needs you now she is so tired of sleeping alone.

Nakupenda mume wangu mtarajiwa naamini kabisa utakua hukuhuku Jf umejifucha tu.
Yuko njiani anakuja. Be patient, wakati ukifika huwa umefika the sister!
 
Sijui ni lini utaelewa kuwa Mungu hakupi unachotamani bali unachostahili.

Ni hivi kabla ya kuweka vigezo vya unaetaka kuolewa nae inabidi uangalie ni wanaume wa design gani wanavutiwa kuwa na wewe. Kwa ufupi ukiona hutongozwi na wanaume unaotamani kuwa nao basi jua hustahili kuwa nao.

Ni hivi hutaishia miaka 30 tu ukiwa single; utazeeka halafu utakufa ukiwa single kama hutabadili mtazamo.
 
Kupendelea kitu fulani sio dhambi, huyo sistrer hakufanya vibaya kupenda mwanaume mrefu ili mradi awe tayari kumpokea mume ambaye Mungu atampatia hata kama hatakuwa mrefu hivyo msimlaumu kwa kuelezea hisia zake, ni kama pale mtu anapoomba apate mtoto mvulana au wa kike lakini Mungu anampatia wa tofauti, mtu huyo atakuwa na haki ya kulaumiwa kama tu atalaumu badala ya kupokea alichopewa na Mungu, Hivyo tusiogope kuelezea hisia zetu tunapenda nini.
At last someone understands me
 
Japo mimi nimeoa tayari, ila nimeguswa na nia yako njema. Nakuombea Mungu akupe mume mwema kama yeye Muumba alivyokusudia ndoa iwe namna gani pale alipomkabidhi Eva kwa Adam ili awe mke wake.

Kumbuka na uahidi toka ndani ya moyo wako kuwa ukimpata umkubali katika tabu na raha, uzima na ugonjwa na umpende na kumheshimu siku zote za maisha yako
Asante
 
Hahaaa et give you good sex anytime you need.....
Hamuwezagi hii kitu bibie, acha nadharia kabla hujaingia ndoani
 
Hizo ahadi "mia" unadhani utazitimiza? Uliza wenzako walioko ngomani, wanaweza kukupa neno moja au mawili kuhusu ahadi zako.

Nadhani bado ujana maji ya moto unakusumbua, uko too desperate, too picky, japo pia ni vizuri kutafuta unachohitaji. Ila hizo ahadi hizo....!!
Too desperate , too picky....doesnt go together. Ukiwa desperate hutaweza kuchagua utabeba atakaekuja. Huyu bado sana ndio maana anaweka vigezo. Btw kuna ubaya mtu kuchagua anaempenda? Mliooa mmeoa tu wala hamkuchagua?
 
Uko desperate sana dada

Unasahau unapanga na Mungu naye anakupangia, na unasahau kwenye maisha haya hupati uanchotaka bali unachostahili??? Usiwe mchaguzi hivo, ondoa hiko kua wanakuja wafupi tu na wewe unataka wa kwenda hewani

Unapoangalia mwenza wa kudum, mwenza wa kushare naye maisha yako yote lazima kuwe na vigezo vinavyoishi sio hivi vya urefu na upana na hata hivo huwez mpata mwenye vyote lazima baadhi atamiss muhim kuangalia vya muhim tu kama anavyo

Mshirikishe Mungu, sababu hujibu kila goti lipigwalo kwa nia, uwe mstahmilivu muda wako unakuja.
Ajipange kuwa single maza tuu..
 
Too desperate , too picky....doesnt go together. Ukiwa desperate hutaweza kuchagua utabeba atakaekuja. Huyu bado sana ndio maana anaweka vigezo. Btw kuna ubaya mtu kuchagua anaempenda? Mliooa mmeoa tu wala hamkuchagua?
Unaweza kuwa desperate na picky at the same time, wanaita kuweweseka,
hueleweki unachotaka ila unasumbuka. Utakuwa hujanisoma vizuri, nimesema hakuna ubaya kutafuta unachohitaji.
 
Back
Top Bottom