I wish I had a husband already

I wish I had a husband already

Maneno mujarab haya kutoka kwa Mrs Duke, hajajua kuwa watu wafupi kwa kimo ni warefu kwa ndani (tuna DNA za watoto warefu) na ndio waoaji.
Atuombe sisi maandunje radhi kwa maana hakuna binadamu ambae hajaenda hewani.
mependa hapo kwenye bold hahaha

Ni kweli, anaposema anapata wafupi tu hawataki anataka warefu anakosoa hata uumbaji wa Mungu ajue vigezo muhim yawezekana hata huyo mume mwenyewe alishakutana naye lakini alivyo too picky akamkosa ila shahada mara tatu asikate tamaa atapata aombe Mungu
 
How I wish I had a husband jamani nimechoka kuwa mpweke. Usiku kama huu I have no one to cuddle with in bed just holding my pillow imaging it as a man.

Yan wanaume wa kuoa wapo ila kimbembe mpaka umpate atakae kuvutia. Just like me here I get approached with a lot of men but sijaona alienivutia wengi ni wafupi halafu mimi napenda wale walioenda hewani. Sasa jamani na umri huu nikiendelea kuchagua si nitafika 30 sina dalili ya kuolewa oohh God help. At this age I wish I had 2kids and a lovely husband but non has happened no kids no husband.

Dear future hubby popote ulipo nakuita uje kwa jina la Yesu tuanze mipango ya ndoa yetu mwakani muda kama huu niwe na ujauzito wa miezi mitano for our first born.

Dear hubby I promise to love you to hell like no one ever did before, I will care for you, cook for you, take you for a bath in the morning, wash your clothes, pray for you, love your family, help you financially, give you good sex anytime you need etc.
My lovely husband your future wife needs you now she is so tired of sleeping alone.

Nakupenda mume wangu mtarajiwa naamini kabisa utakua hukuhuku Jf umejifucha tu.
unahitaji mrefu kwenda juu au chini? ili tujue
 
mependa hapo kwenye bold hahaha

Ni kweli, anaposema anapata wafupi tu hawataki anataka warefu anakosoa hata uumbaji wa Mungu ajue vigezo muhim yawezekana hata huyo mume mwenyewe alishakutana naye lakini alivyo too picky akamkosa ila shahada mara tatu asikate tamaa atapata aombe Mungu
Hahaha mimi namshauri asitishe maombi ya KUTAFUTA na aanze maombi ya SHUKRANI kwa maana tayari "future husband wake" niko hapa nikikamilisha kigezo cha kwenda hewani.
 
Tafuta maandunje wewe,wanajua mapenzi,wanawivu na wavumilivu ilaaaa ni wabishi hatari.....hawakubari kushindwa kitu.
 
Back
Top Bottom