I wish I had a husband already

I wish I had a husband already

Kuan Bibie mmoja alinifuata alilia kwa machungu akiomba turudiane baada ya kuzalishwa na jamaa. Alinitukana matusi mabaya pasipo kosa . akamuhonga mwanaume aliyempenda , kizuri : ilikuwa jamaa akimhonga nayeye jamaa anaenda kuhonga alimpa mpaka ATM card alipoona yupo Katibu kujifungua akakomba pesa yake yote skamkimbia

Na hivyo biashara yake ikalala . wosia wangu kwa wanawake

Mpende Mwenye nia dhabiti unayoitaka wewe , sura , pesa na visingizio vingine mkiviendeleza mtalia saaana


Siwezi oa single mother
 
Huu uzi umeandika wakat umevaa nguo?!

Kila kitu kina wakat wake Mungu huwa hachelewi au kuwahi huleta jambo jema kwako pale wakati muafaka unapofika.
Kabisa Mkuu.

Hakuna asietamani kuoa ama kuolewa ila naamini kila kitu kinakuja kwenye wakati muafaka.
 
Uko sehem gan hapa dsm nikutafte maana mimi ndio yule eee mtabiriwa wako
 
Dah eti wafupi na hutaolewa asilani wkt wenzio warefu eanapenda wafupi mfn Joti wanalingana urefu mpenz ya kwel co maumbile wala Mali upo
 
Mimi ni bonge moja la mrefu kama jini... ila nina kibamia... je ninaruhusiwa kuja PM?
 
Hakika wewe ni mwanamke na wengi waliojaa humu JF ni wasichana tu, most of them hawajakua kiakili like huyu mtoa maada. Umeongea naked truth.

I appreciate you...
Uko desperate sana dada

Unasahau unapanga na Mungu naye anakupangia, na unasahau kwenye maisha haya hupati uanchotaka bali unachostahili??? Usiwe mchaguzi hivo, ondoa hiko kua wanakuja wafupi tu na wewe unataka wa kwenda hewani

Unapoangalia mwenza wa kudum, mwenza wa kushare naye maisha yako yote lazima kuwe na vigezo vinavyoishi sio hivi vya urefu na upana na hata hivo huwez mpata mwenye vyote lazima baadhi atamiss muhim kuangalia vya muhim tu kama anavyo

Mshirikishe Mungu, sababu hujibu kila goti lipigwalo kwa nia, uwe mstahmilivu muda wako unakuja.
 
Tatizo akija mrefu kigezo cha hela kitajitokeza

Akija mwenye hela kigezo awe anaishi Dar es salaam kitajitokeza

Akija anayeishi Dar es salaam kigezo cha asiwe na mtoto kinajitokeza

Akija asiye na mtoto utataka mwenye degree

Wanawake mnapaswa kupunguza vigezo mpate Waume
 
Asante, shukrab sana james
Hakika wewe ni mwanamke na wengi waliojaa humu JF ni wasichana tu, most of them hawajakua kiakili like huyu mtoa maada. Umeongea naked truth.

I appreciate you...
 
How I wish I had a husband jamani nimechoka kuwa mpweke. Usiku kama huu I have no one to cuddle with in bed just holding my pillow imaging it as a man.

Yan wanaume wa kuoa wapo ila kimbembe mpaka umpate atakae kuvutia. Just like me here I get approached with a lot of men but sijaona alienivutia wengi ni wafupi halafu mimi napenda wale walioenda hewani. Sasa jamani na umri huu nikiendelea kuchagua si nitafika 30 sina dalili ya kuolewa oohh God help. At this age I wish I had 2kids and a lovely husband but non has happened no kids no husband.

Dear future hubby popote ulipo nakuita uje kwa jina la Yesu tuanze mipango ya ndoa yetu mwakani muda kama huu niwe na ujauzito wa miezi mitano for our first born.

Dear hubby I promise to love you to hell like no one ever did before, I will care for you, cook for you, take you for a bath in the morning, wash your clothes, pray for you, love your family, help you financially, give you good sex anytime you need etc.
My lovely husband your future wife needs you now she is so tired of sleeping alone.

Nakupenda mume wangu mtarajiwa naamini kabisa utakua hukuhuku Jf umejifucha tu.
Hii si dalili nzuri,ndo ushaanza kuongea peke yako,umeanza kuongea peke yako usiku wa manane,baadaye utaanza kuongea peke yako barabarani,kuwa mtulivu,upate afya ya kisaikolojia!
 
Mkiendelea kuangalia sifa za kiumbo sio kiakili utakesha
 
Back
Top Bottom