I wish I had a husband already

I wish I had a husband already

Duh! Dunia ya ajabu Sana! Yaani kuna mwanaume sehemu naye ana matamanio kama ya kwako na pengine hata kuonana mmeishaonana lakini hakuna anyejua shida ya mwingine! Sema amina mwenyezi Mungu atakubariki !
How I wish I had a husband jamani nimechoka kuwa mpweke. Usiku kama huu I have no one to cuddle with in bed just holding my pillow imaging it as a man.

Yan wanaume wa kuoa wapo ila kimbembe mpaka umpate atakae kuvutia. Just like me here I get approached with a lot of men but sijaona alienivutia wengi ni wafupi halafu mimi napenda wale walioenda hewani. Sasa jamani na umri huu nikiendelea kuchagua si nitafika 30 sina dalili ya kuolewa oohh God help. At this age I wish I had 2kids and a lovely husband but non has happened no kids no husband.

Dear future hubby popote ulipo nakuita uje kwa jina la Yesu tuanze mipango ya ndoa yetu mwakani muda kama huu niwe na ujauzito wa miezi mitano for our first born.

Dear hubby I promise to love you to hell like no one ever did before, I will care for you, cook for you, take you for a bath in the morning, wash your clothes, pray for you, love your family, help you financially, give you good sex anytime you need etc.
My lovely husband your future wife needs you now she is so tired of sleeping alone.

Nakupenda mume wangu mtarajiwa naamini kabisa utakua hukuhuku Jf umejifucha tu.
 
Ahh wapi siko interested na pesa ya mtu maana mi mwenyewe najua kuzitafuta zangu pole sana.... I pay my own bills, I drive my own car, am building my own house, I have my own businesses so pesa ya mtu hainishtui by the way am comfortable in spending my own money not any one else's money..hope you got me..am not a gold digger
Nina vigezo vyote tatizo langu napenda pombe ila Niko tayari kubadilika.....kama siyo ishu kwako ni.pm plz lady
 
ila watu wafupi ni ving'ang'anizi si kidogo, yaani unakuwa naye kimachale moyo nusu nusu kwake

Nnae mmoja kila dk anaita hubby mie nacheka tu maana najua sina lengo kabisa. nisameheni wakuu
Halafu kawe kanene..duh
 
Tengeneza tu wakwako bila hivyo dudu utakuwa unaisikia tu kwa jirani
 
Sijapata aliekidhi vigezo sitaki kuwa na mume ilimradi ni mwanaume I want a husband atakae nitia hamasa ya kufanya nae mapenzi kila ninapomuona au kumfikiria sasa akiwa mfupi siwezi kulowana kabisaaaa
Hapa ndipo ninapowapatia nyie viumbe....karibu pm unithaminishe
 
Kitu ambacho watu wengi hukosea ktk mahusiano ni pale wanajikuta wanaangalia mtu kwa jinsi ya nje: urefu, weupe, ufupi na weusi kama ndio factor muhimu ya kupata wenzi, hayo ni makosa makubwa. Kitu muhimu katika mahusiano ni upendo tu, mkishiba upendo kila kitu kitakuwa swafi, ukivutiwa na wajihi, kama hakuna upendo, haitachukua muda mtaanza kupeana majina mabaya na kusahau kilichokuvutia.

Vv
 
How I wish I had a husband jamani nimechoka kuwa mpweke. Usiku kama huu I have no one to cuddle with in bed just holding my pillow imaging it as a man.

Yan wanaume wa kuoa wapo ila kimbembe mpaka umpate atakae kuvutia. Just like me here I get approached with a lot of men but sijaona alienivutia wengi ni wafupi halafu mimi napenda wale walioenda hewani. Sasa jamani na umri huu nikiendelea kuchagua si nitafika 30 sina dalili ya kuolewa oohh God help. At this age I wish I had 2kids and a lovely husband but non has happened no kids no husband.

Dear future hubby popote ulipo nakuita uje kwa jina la Yesu tuanze mipango ya ndoa yetu mwakani muda kama huu niwe na ujauzito wa miezi mitano for our first born.

Dear hubby I promise to love you to hell like no one ever did before, I will care for you, cook for you, take you for a bath in the morning, wash your clothes, pray for you, love your family, help you financially, give you good sex anytime you need etc.
My lovely husband your future wife needs you now she is so tired of sleeping alone.

Nakupenda mume wangu mtarajiwa naamini kabisa utakua hukuhuku Jf umejifucha tu.
Asante sana kwa kukubali kwa mke wangu wa tatu. Mmmwaaaaa.
 
Back
Top Bottom