i missed u

i missed u

Yani shosti umenena, kwa kweli hata mimi nilihangaika kuchwa kutwa bila mafanikio. Nikawa na mawazo mengi sn...may be am banned and so on. Jamani kama ni bangi basi JF nimejawapo. Cjui cku itoweke wengine tutakimbialia wp! I missed them JF alot and thank you are back again. Love u all.
 
nazisubiri kwa hamu na chochote atakachosema nitakubali.
wala usimuogope, sana sana atakwambia mkutane kaunta kwa Eliza grocery, and then atalewa, atasahau kwamba ww upo, yy atachapa lapa kivyake kuwahi kabla mama matesha hajahamishia mwiko chumbani tayari kwa adhabu ya kuchelewa
 
Cheusi wa Kaizer dear,

we missed you too......

+

chrispin darlin mie nilisema especialy chrispin kimoyomoyo kumbe umesikia.nitakupenda daima.

icon12.gif


Huwa hataniwi huyo....subiri mfululizo wa PM!

icon10.gif
icon10.gif


nazisubiri kwa hamu na chochote atakachosema nitakubali.

icon14.gif
icon14.gif
icon14.gif
icon14.gif
 
karibu cheusi wangu....usihofu huwezi kuvunja sheria, you are above the law.....na avatar yako imenivutia mashalla
 
Yani shosti umenena, kwa kweli hata mimi nilihangaika kuchwa kutwa bila mafanikio. Nikawa na mawazo mengi sn...may be am banned and so on. Jamani kama ni bangi basi JF nimejawapo. Cjui cku itoweke wengine tutakimbialia wp! I missed them JF alot and thank you are back again. Love u all.
Unaona sasa! nilikwambia bora mie nipo, situmii server, situmii umeme wa tanesco.
Na ilinenwa usiweke mapenzi yako juu ya vitu wavifanyavyo wanadamu.......weka mapenzi yako kwangu....hata wewe ujapokuwa na simanzi nitakuliwaza.

wote sema amen!!
 
Yani shosti umenena, kwa kweli hata mimi nilihangaika kuchwa kutwa bila mafanikio. Nikawa na mawazo mengi sn...may be am banned and so on. Jamani kama ni bangi basi JF nimejawapo. Cjui cku itoweke wengine tutakimbialia wp! I missed them JF alot and thank you are back again. Love u all.
umeona eeeh?yaani si mchezo shosti wangu.pia inatuepusha na mambo mengi.
 
Unaona sasa! nilikwambia bora mie nipo, situmii server, situmii umeme wa tanesco.
Na ilinenwa usiweke mapenzi yako juu ya vitu wavifanyavyo wanadamu.......weka mapenzi yako kwangu....hata wewe ujapokuwa na simanzi nitakuliwaza.

wote sema amen!!
aaaaaaaaaaaaaamen!!!!!well said well said.
 
Cheusi unampango gani na wapwa.........samahani kama nimekukwaza!!
 
Cheusi unampango gani na wapwa.........samahani kama nimekukwaza!!
what do u mean mpendwa wangu bht?hebu fafanua!
hujanikwaza koz hata cjaelewa swali lako.
nilikumiss hata wewe kishenzi shosti wangu!!!!
 
Lol i missed you yaani kupita maelezo
 
what do u mean mpendwa wangu bht?hebu fafanua!
hujanikwaza koz hata cjaelewa swali lako.
nilikumiss hata wewe kishenzi shosti wangu!!!!

shosti, wewe wa Chrispin, Kaizer, Bigirita sasa who z who.

shost we acha tu hii kitu ikikosekana siku huwa ndefu
 
Cheusi unampango gani na wapwa.........samahani kama nimekukwaza!!
Naona ana mpango wa kutumiss wooooote !........na kum-love nanihii peke yake kwa niaba ya wapwa.
 
shosti, wewe wa Chrispin, Kaizer, Bigirita sasa who z who.

shost we acha tu hii kitu ikikosekana siku huwa ndefu

Hili neno kwenye bold linmaanisha nini hasa enyi mahayo kwenye bold?
 
shosti, wewe wa Chrispin, Kaizer, Bigirita sasa who z who.

shost we acha tu hii kitu ikikosekana siku huwa ndefu
Signal zipo, lakini zinatofautiana strength........angalia vizuri hapo juu!!
bado kidogo iliyo na nguvu itadominate.na picha mtaanza kuziona bila chenga
 
Hili neno kwenye bold linmaanisha nini hasa enyi mahayo kwenye bold?

siju linaandikwa na 'i' mwisho au lah ila lina maana ya 'rafiki', 'shoga yangu'

wale wanaokenda 'deep' watatoa maoni yao ila kwa mimi na cheusi hivyo ndivyo tulivyo maanisha

Afu na wewe acha kusmoki ungali mdogo hivo kheee!!!!
 
mi ukini miss njoo pm....
unakaribishwa.......
 
Signal zipo, lakini zinatofautiana strength........angalia vizuri hapo juu!!
bado kidogo iliyo na nguvu itadominate.na picha mtaanza kuziona bila chenga

hahaaaa mseminari bado kidogo Paroko atakurudisha home akukabidhi kwa familia yako.......
 
hahaaaa mseminari bado kidogo Paroko atakurudisha home akukabidhi kwa familia yako.......
Weeeeee! thubutu?
Paroko mwenyewe anakunywa bia kwenye grocery ya mzee wangu. Yani mzee wangu wanaiva ile mbaya........wakati mwingine anamwombaga pick/up yake, nahisi huwa wana kwendaga kwenye mechi za mchangani pamoja, mzee wangu ndo cover up!!
 
Weeeeee! thubutu?
Paroko mwenyewe anakunywa bia kwenye grocery ya mzee wangu. Yani mzee wangu wanaiva ile mbaya........wakati mwingine anamwombaga pick/up yake, nahisi huwa wana kwendaga kwenye mechi za mchangani pamoja, mzee wangu ndo cover up!!

toba ngoja niende maana kule wakina Ama wanalalmika kuna mdudu JF

sasa kabla jioni haijaharibika naomba nisepe tena mwenyewe wala si na Iribini
me, myself and I.........
 
Back
Top Bottom