Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,159
- Thread starter
- #41
Kweli ulipotea. bishanga alikuwa anakulilia sana. karibu dada.
ahsante mamie,bishanga ana yake huyo.nilizidi kumkopesha vitunguu na nyanya kafilisi mtaji
Kweli ulipotea. bishanga alikuwa anakulilia sana. karibu dada.
Hah! Nilikuwa nairuka thread... Kumbe ni Kabakabana... Karibu sana..
ndo mimi diaa,ahsante sana.za siku mingi?
Baada ya kuona hii Avatar ndio nakumbuka kuwa nilikukosa........
Mabusu yakutosha yamenitoka hapa lol....
Karibu sana!
Salama sana.. Bora umekuja tuagane.. Si umeona kibendera hapo juu.. Siku 4 nyingi,kama vipi wanachitchat tukubaliane tuwe tunakutana wapi..
Heeee kaba ulikuwa wapi nilikumiss sana daah karibu tena
Babu ODM mkague Kabakabana mwana mpotevu lol
khaa,avatar kumbe zina mambo hivi?
Mabusu yangu pia hayoo daka basi
kibendera gani teena?tuagane?sijakusoma ndugu
hehe,hivi babu yupo jamani?nimemmic mbaya kabisa,
jamani nimemmisi huyo wifi yangu mbaya kabisa,khaa fb ts like home jamani.
jamani ricky i micd u more,amy yuko api?
Ohh hallelujah....
Si tarehe 12 hadi 15-May,JF haitakuwa hewani? Na wametushauri tuhamie FikraPevu ama JF ya Facebook..
Ngoja aje akukague...teh babu Asprin baada ya wewe kupotea kaongeza wajukuu kibao akina Erotica .. beibe nasty dah atakuja kukuambia mwenyewe
Dah atakuja kukupa hi soon nae kapotea siku hizi...ila kwa kuwa umekuja nae atarudi
Kaby ndo nini kufanya watu tubandike mabango ya kukutafuta binti wewe?!