I miss my ex man so much jamani

I miss my ex man so much jamani

My heart still belongs to my x

Sent from Samsung A8 using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu m-botswana ulie humu na kwa hakika uko pekeyako humu tena unaeoa mach maana hata kama mko wawili mwa botswana lakini hii inakuhusu wewe unaeoa marchi na mchumba milikutania humu, bwana mdogo piga chini huyu manzi fasta otherwise ume;iwaaaaa
 
hii kali jaman! hv mnapataga ngv gan za kurudiana na ex wenu? yaan ww dada utakuwa na ndoa ngumu na chungu sana sana! mbn nakuhis km unashida? naogopa kukuita ma.la.ya kwasabb sijui unawaza nn.... aise wewe hufai sijui ukiwa unarud tzee si utakuwa unafikia kwa hyo ex wako jaman!...shda 1 mnayokosea mnawakumbukaga kwa mazuri... iweje umkumbke ex wako lakin... aise mie nna shda sehem!..anywys utakuja lia hapa nxt yr wewe... yaan acha tudharirike tu tutukanwe tu kwaajili yenu aic! kha!... mie siwez mfeel tena jaman ex hata iweje bora nisonge mbele....

kila siku mie nasema humu hatujajitambua tunataka nn yaan ww unataka uonekane UMEOLEWA BASI! pathetic
 
you aren't the one my Botswana man never visits jf often he is always busy reading signals in forex trade to make millions unless he has multiple accounts coz I only know one account.

By the way if you are the one forgive me hubby to be I just wanted to say goodbye to my x before I completely come to you
KNOWING IF I AM BUSY READING FOREX SIGNALS OR OTHERWISE-

YOU JUST WAIT AND SEE!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katunga story sio ya kweli
Asingeweza kuileta humu wkt wote wamo labda kampa limbwata la kuziba masikio mbots

Na hata kama ni kweli anamkumbuka x n 7b ya expenditure jamaa alizotumia na misele pmj na bata alompa hakuna mapenzi hapo


Damn you all ladies
 
hii kali jaman! hv mnapataga ngv gan za kurudiana na ex wenu? yaan ww dada utakuwa na ndoa ngumu na chungu sana sana! mbn nakuhis km unashida? naogopa kukuita ma.la.ya kwasabb sijui unawaza nn.... aise wewe hufai sijui ukiwa unarud tzee si utakuwa unafikia kwa hyo ex wako jaman!...shda 1 mnayokosea mnawakumbukaga kwa mazuri... iweje umkumbke ex wako lakin... aise mie nna shda sehem!..anywys utakuja lia hapa nxt yr wewe... yaan acha tudharirike tu tutukanwe tu kwaajili yenu aic! kha!... mie siwez mfeel tena jaman ex hata iweje bora nisonge mbele....

kila siku mie nasema humu hatujajitambua tunataka nn yaan ww unataka uonekane UMEOLEWA BASI! pathetic
When a woman loves she loves for real nilimpenda x na bado nampenda hakunitoa bikira yeye lakini mapenzi yake kamwe sitayasahau he was such a gentleman na hatukuachana kwa sababu ya ugomvi but ni circumstances ambazo they can't be avoided
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom