Neybright
JF-Expert Member
- Feb 1, 2017
- 5,692
- 14,484
Hata mahari haijatolewa umeshaanza kuhangaika na ex wako aiseeh wewe mwanamke ni hatari sana, na kule umetuambia mbotswana lazima auone huo ujumbe huku tena ooh hawez kusoma jamani. Embu jitahidi utambue ni nini unakihitaji kabla ya kuingia kwenye ndoa mydear, ndoa sio jambo la sport sport. Embu kuza akili kwanza ndio muendelee na process za mahari.