hii kali jaman! hv mnapataga ngv gan za kurudiana na ex wenu? yaan ww dada utakuwa na ndoa ngumu na chungu sana sana! mbn nakuhis km unashida? naogopa kukuita ma.la.ya kwasabb sijui unawaza nn.... aise wewe hufai sijui ukiwa unarud tzee si utakuwa unafikia kwa hyo ex wako jaman!...shda 1 mnayokosea mnawakumbukaga kwa mazuri... iweje umkumbke ex wako lakin... aise mie nna shda sehem!..anywys utakuja lia hapa nxt yr wewe... yaan acha tudharirike tu tutukanwe tu kwaajili yenu aic! kha!... mie siwez mfeel tena jaman ex hata iweje bora nisonge mbele....
kila siku mie nasema humu hatujajitambua tunataka nn yaan ww unataka uonekane UMEOLEWA BASI! pathetic