I miss my ex man so much jamani

I miss my ex man so much jamani

hii kali jaman! hv mnapataga ngv gan za kurudiana na ex wenu? yaan ww dada utakuwa na ndoa ngumu na chungu sana sana! mbn nakuhis km unashida? naogopa kukuita ma.la.ya kwasabb sijui unawaza nn.... aise wewe hufai sijui ukiwa unarud tzee si utakuwa unafikia kwa hyo ex wako jaman!...shda 1 mnayokosea mnawakumbukaga kwa mazuri... iweje umkumbke ex wako lakin... aise mie nna shda sehem!..anywys utakuja lia hapa nxt yr wewe... yaan acha tudharirike tu tutukanwe tu kwaajili yenu aic! kha!... mie siwez mfeel tena jaman ex hata iweje bora nisonge mbele....

kila siku mie nasema humu hatujajitambua tunataka nn yaan ww unataka uonekane UMEOLEWA BASI! pathetic
Kwanini umeogopa kumwita Malaya?
 
Ex wako from JF ,Mbotswana from JF (mlikutana) pongezi za Ex wako unazitolea JF hii itakuwa SCRIPT
# Tamaa mbaya

GARI BOVU HUVUTWA NA ZIMA
 
wewe syo bure

Hapa jf uongo umekisiri sana
803588296a71c8df058e17e8eb664fcf.jpg


hyo ID kuna namna lazima
 
Yani mademu wa kibongo bana. Anamiss dushe la mshikaji wa kibongo akat anaolewa soon. Looh

sent from my iPhone 7s using JamiiForum mobile app.
 
Kazi na Dawa.

Ngoja nisuuze Koo kwanza ili Akili ikae sawa
 
Toba yarabi!
Ndio maana vijana siku hizi hawataki kuoa.
Na kwa sisi wanaume tulio katika ndoa asilimia kubwa hatuna Imani na wake zetu....haswa baada ya kusoma uzi kama huu. Nimejikuta najiweka kwenye viatu vya huyo mume mtarajiwa,nikapatwa na hasira kali na huzuni ya kiwango cha SGR (Standard Gauge Rail).
 
Hawa wanawake shida. Kun ex wangu pamoja na kuolewa lakini maneno aliyokuwa akiniambia kuhusu uhusiano wetu. Ni afadhali Muumba hakutupa uwezo wa kujua mwenzio anawaza nini.
 
Mleta uzi unahitaji maombi,maana mbele ya safari yako ya ndoa,naona giza.Namwomba huyo E kama anamjua Mungu,akimbie mbali sana,maana huo unaweza kuwa mlango wa maangamizi.
Ogopa sana mwanamke anakusimanga una kibamia,halafu yakimshinda huko anarudi eti "wewe ndiye mwanaume pekee uliyenifikisha na kunipa penzi la kweli!!"Ni uwongo aende zake,unawezaje kulilia kubamia?!!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
wanawake acha tu tunyanyaswe...
acha tu....
yani unataka kupasha nae kiporo?
unataka uonje biringanya kwa mara ua mwisho...eti kuagana.....serious?
Halafu kaandika kama kejeli flani hivi,ok kila mtu na mitazamo yake aisee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom