I am sorry mabinti wa kichagga

I am sorry mabinti wa kichagga

Status
Not open for further replies.
bravo dada huyu wa kichagga,very smart! nipe kontakt yake nimpongeze kwa kudumisha mila!

Mi nilikuwa na girlfriend kutoka Marangu kwa miaka miwili akanishawishi nimkopeshe milioni 6 naye alikuwa anazo kidogo afungue duka,akasema atanilipa polepole.Baada ya muda akaanza vituko na ugomvi usiokuwa na kichwa wala miguu tukaamua kuachana,baada ya miezi sita nikaulizia zile hela nilizomkopesha akadai simdai kitu nimemtumia miaka miwili na hatujaandikiana chochote.

sasa hapo mwenye makosa ni nani? Sio wanawake tu , hata wanaume wapo warushi. Jifunze kukopesha kwa akili zaidi ya ngono. Mkiambiwa wako smart na hawakubali kufail mnabisha. Sasa mtaji anao .
 
Uongo mbaya, mabinti wengi wa kichaga hawafai hata bure. Wazuri pia wapo, lakini wachache sana. Nimeambiwa kwamba hata wanaume wa kichaga siku hizi hawawataki. Wanakwenda kuoa kwingine.
 
If you can't resist the heat quit the kitchen. However , kama wewe unatamani sana kuona demu wa Kichaga kwa raha zako au vijisababu vyako vingine lazima ujue yafuatayo.

1. Wao ndio wanaongoza kwa shule (education ) Tanzania hii. Demu wa
form 4 Chagga huwezi kumlinganisha na demu wa Kimakonde same
level.

2. Kutokana na hapo juu wana mtizamo tofauti wa maisha na hao
waliotajwa..Nyamwezi, Sukuma , Gogos, makondes etc


3.Ni watu wasioshabikia failure by any standard. If you are a failure do'nt
even try a short kiss with a Chagga lady.

4. Huko kwao wanafaiti kuondoa vyoo vya shimo na sio kujenga vyoo vya
kama walivyo makabila mengi. If you want evidence , visit rural Kil.
areas.

Naongeza tano na sita

5. Hapa Mjini bar maids wengi ni mabinti wa kichaga na wananoniniwa kwa saaaaaaaaaana

6. Hapa mjini "nyumba ndogo" nyingi ni mabinti wa kichaga
 
Naongeza tano na sita

5. Hapa Mjini bar maids wengi ni mabinti wa kichaga na wananoniniwa kwa saaaaaaaaaana

6. Hapa mjini "nyumba ndogo" nyingi ni mabinti wa kichaga

Hey guy! Are you a man or she?
 
Tatizo hilo ni kubwa, mtaani kwangu kuna mwanamke amezidi miaka 30 kwa sasa, yule so much frustrated, ni mchaga wa rombo, anatuambia anatamani kubadili kabisa, kwasababu pamoja na uzuri wake, wanaume huwa wanakuja wanachungulia kwa mwezi au hata nusu mwaka, mambo yakitaka kukolea tu, wanalala mbele na hawarudi tena. pamoja na kwamba na yeye, alimpata mmoja hivi msukuma, lakini kwasababu haleti zawadi walau machungwa kwenye rambo au papai etc anapomtembelea, akachagua kua huyo atakuwa si mwanaume mzuri. amekuwa akichaguachagua hadi amekuwa over 30. nasema ukweli, ukweli mtupu hapa.

kama kuchafuka sifa ya kabila, bahati mbaya hawa wenzetu walishajichafua wakachafuka. tuwasaidie, tusiwatenge.
 
Hii kali zaidi!
Hivi wachagga unawajua vizuri weye? Ushafika huko kwao unakosema wanatafuta pesa kupelekea familia zao?
JF ubaguzi kwa kwenda mbele - mara UDINI... sasa UKABILA.... WHAT NEXT?

Kwetu usukumani ilikuwa mwiko kabisa kuoa binti wa kichaga mpaka hivi karibuni baada ya mchanganyiko kuwa mkubwa, kisa utaibiwa.

Sijafahamu sana kwa sasa ila huko nyuma kulikuwa na utaratibu kuwa ukishaoa binti wa kichaga unapelekwa ukweni unapewa kiwanja ujenge. Ukishajenga hiyo nyumba si yako bali ni ya wakwe zako. Kuna Profesa mmoja wa Kikerewe pale UDSM ameoa mchaga na anaperekeshwa hakuna mfano. Baba mkwe husafirishwa kwa ndege ili hali baba yake mzazi hupandishwa kwenye treni na huwa hapewi sitahili za kama baba ukilinganisha na jinsi huyu profesa anavyoshughulikia wakwe zake.

Pia kulikuwa na masuala ya kabati ya mbeho (friji), pick up na redio ya picha (TV) lazima uwe navyo kabla ya kumuoa binti wa kichaga hope kwa sasa kama yapo basi ni kwa kiwango kidogo sana.

Nimesoma na mabinti wengi tu wa kichaga wenye roho nzuri japo walikuwepo pia wenye kuonyesha hizo tabia mbovu za kupenda pesa zaidi kuliko mume mwenyewe.
 
Kuna watu ambao hata mambo physical kabisa wanataka ushahidi...thats hypocricy!.. Wewe unatoka sayari gani usiyejua ukatili wa wanawake wa kichaga, hasa wanaotoka Machame na sehemu zinginezo!Mimi pia nilishaathiriwa na wasichana wa hivyo kabla ya kuoa wa kwetu. Lakini pia niliachwa hoi siku moja msichana wa kimachame aliudhiwa na rafiki yake wa kiume jioni moja, akaamua kuja kwangu kulala bila hata ya kumtongoza, yani tulikuwa tunafahamiana tu mtaani! Uwongo nililala nae, si unajua kwenye ujana nguvu nyingi, na siku hiyohiyo akapata ujauzito. Ni story ndefu, lakini kimsingi ni kwamba baadhi ya wasichana wa kichaga wako HEARTLESS....si jambo la siri!


Wewe ndiye unayetoka sayari ipi????
Pole kwa uliyokutana nayo.
Huyo binti aliyekuja na kulala kwako kisa kagombana na rafiki yake wa kiume ni tabia tu ya mtu kutojiheshimu ama uhitaji wa pumziko bila kufikiria.
Siwezi ema wanawake wa kichaga are perfect ila mnaposema wasichana wa kichaga are so kindless, heartless, kupenda kuhongwa and all kind of stuff mnakosea sana.
Tabia ya mtu ni mtu mwenyewe na si kabila lake.
 
Ukweli dhahiri. Kwani we c mtoto wa pwani?

Nashangaa watu wanapoteza muda kudiscus dada zetu kuwa wanapenda hela na wanaijua...mlitaka watoe bure kama hayo makabila mengine? lini tutaacha UKABILA NA UDINI? tena haya mambo yanakuwa kwa kasi sana.
 
Nimeomba samahani kwa wale watakaokwazika na kuumizwa na habari hii.

Kuna jamaa rafiki yangu sana ana mchumba wake ni mchagga tabia zake zinaendana sana na binti mmoja ambaye ni rafiki yangu. Sasa hawa mabinti wanaendana kitabia na kunifanya niamini maneno niliyowahi ambiwa kuwa mabinti wa kichagga sio wa kuoa, kwani hawa watu ni kindless, loveless, wiseless, worryless and selfish kupita kiasi. Na wanatumia mapenzi kama fimbo.

Sasa haya nimeyaona na nimeamini kuwa hawa watu hawafai. Nikaona niulize wengine mambo yakoje mnayaonaje na kwa wale waliooa wachagga ndoa zikoje?

Mke anaweza kuwa yeyote yule, awe mchina mmongolia, mzaramo, mwarabu n.k usijitie chumbani, hakuna duniani mtu ambae utasema yuko perfect hakuna! la sivyo utakanyaga weeeeee watoto wa watu na kujishtukia umezeeka wala hujawahi kuoa!! tena na wewe lazima ujue unaudhaifu tele tena unanuka! lakini watu wanakumezea tu,........
 
Daaaamn!!
Kurasa 16, going strong, no plausible counter arguments. Hii ngoma nzito kwakweli.
Chimunguru dah. Unaua kudadeki.
 
Uzuri au ubaya wa mijadala kama hii ni kwamba haina jipya ndani yake na inaashiria ukosefu wa mambo ya maana zaidi ya kujadili, ua zaidi ukwepaji wa makusudi wa kujadili mambo ya msingi zaidi yanayotugusa. Matokeo yaketunaishia kutafuta faraja katika kuwadhalilisha wanawake wa makabila mengine.
 
Mimi mapya nimesoma mbona? Kaizer, speak for yourself dude.
Wengine tunataka kuwekeza Chadema, so vitu hivi muhimu. Unachuja pumba na mchele.
Mimi msukuma, na weakness za wanawake wa kisukuma naziona na nazijua (especially kwenye mambo ya kujiendeleza). Facts ni facts. Sio kashfa.
Wanawake wa kichagga ni go getters, something I love, na mtu mpenda maendeleo, hawa wanawake wako juu. Lakini kunavitabia ambavyo vinachambuliwa humu ni kweli mtupu. Sasa ni juu yako kuchambua what is good n what is not for you.
Personally, nakutana na wanawake wa kichagga zaidi kuliko kabila lingine, na sielewi kwanini, wakati kwa mfano wasukuma ni kabila kubwa.

Personally, I will pick a chagga woman anyday, sasa kama wewe unashindwa kucontrol vijitabia vyao, then u aint man enough, or just step to the side wanaume wawahandle hawa mabinti. If the kitchen is too hot, even i step to the side.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom