I am sorry mabinti wa kichagga

Status
Not open for further replies.
Kweli kila kabila lina sifa zake kama ambavyo tuliweza kuzungumzia kabila la wahaya lakini all in all wanawake wa kichaga sumu wao ni pesa mbele wala si utu. Ndio ni mabingwa wa kutafuta pesa kwamba wanahangaika kutafuta maisha lakini uliza anamtafutia nani hayo maisha kama si yeye na familia yake aliyoacha kwao mwanaume hafaidi kitu zaidi ya kunyonywa na pengine kufilisiwa kabisa..angalia wanawake wa kichaga walioachana na waume zao kikubwa utaambiwa mzee kaishiwa mwanamke ameanza anaangalia ustaarabu.Hawa ni sumu period!!
 
Kweli kila kabila lina sifa zake kama ambavyo tuliweza kuzungumzia kabila la wahaya lakini all in all wanawake wa kichaga sumu wao ni pesa mbele wala si utu. Ndio ni mabingwa wa kutafuta pesa kwamba wanahangaika kutafuta maisha lakini uliza anamtafutia nani hayo maisha kama si yeye na familia yake aliyoacha kwao mwanaume hafaidi kitu zaidi ya kunyonywa na pengine kufilisiwa kabisa..angalia wanawake wa kichaga walioachana na waume zao kikubwa utaambiwa mzee kaishiwa mwanamke ameanza anaangalia ustaarabu.Hawa ni sumu period!!

Pakawa leo umewaandama kweli wadada wa kichaga.
Nafuu wamnyonye mwanaume na kumuacha mzima,Kuna wale wanammaliza mwanaume na kubaki kutawala mali wenyewe.
 
wanawake wa makabila yote ya tanzania baadhi yao wanafanya haya haya, lakini hawaonekani, lakini ngoja afanye mwanamke wa kichagga mnaanza kupiga blah blah zenu zisizokuwa na kichwa wala miguu. Hivi katika makabila 120 ya tanzania wanawake wenye tabia hizi ni wachagga tu na makabila mengine 119 yaliyobaki wanawake wao hawana tabia kama hizi!? Acheni hizo za kulishambulia kabila la kichagga kila kukicha.


mpaka kufikia mwaka 2000 wanawake wa kichaga walikuwa
wameweka rekodi ya aina yake tanzania ambayo inaweza
isivunjwe milele......

Mke wa rais.......mchaga.....anna mkapa
mke wa waziri mkuu...mchaga...ester sumaye
mke wa rais wa zanzibar mchaga...salma salmin
mke wa waziri wa viwanda ....mchaga ..mrs iddi simba
na kadhalika kadhalika....
Kumbuka watu wote hao niliowataja sio wachaga.....
 
wewe mbona unazungumzia upande mmoja wa shilingi?mbona huzungumzii jinsi walivyo wataalam siku huzi ktk mavituz hata hao wa Tanga hawaoni ndani,swala la roho mbaya siyo wachaga pekee hata wahaya na wamusoma ukiwa tajiri wanakuKolimba cha msingi kuwa makini hata ukioa kabila lako usiwe zoba na epuka kuoa mbali sana maeneo ya kwenu kama mhaya ishia angalau mwanza shinyanga na siyo uende mtwara au chinga uende kigoma unatarajia nini? ila wachaga siku hizi si mchezo nina kademu kangu kananipagawisha utadhani mdigo wa mwamboni
 
dugu yangu bana niulize mie, ninae mmoja hapo south ni hatari kutoka kibosho kama gogo kitandani !!!!nimekoma ninanatafuta mbinu nichomoke!!!!!
 
Kweli kila kabila lina sifa zake kama ambavyo tuliweza kuzungumzia kabila la wahaya lakini all in all wanawake wa kichaga sumu wao ni pesa mbele wala si utu. Ndio ni mabingwa wa kutafuta pesa kwamba wanahangaika kutafuta maisha lakini uliza anamtafutia nani hayo maisha kama si yeye na familia yake aliyoacha kwao mwanaume hafaidi kitu zaidi ya kunyonywa na pengine kufilisiwa kabisa..angalia wanawake wa kichaga walioachana na waume zao kikubwa utaambiwa mzee kaishiwa mwanamke ameanza anaangalia ustaarabu.Hawa ni sumu period!!


Hii kali zaidi!
Hivi wachagga unawajua vizuri weye? Ushafika huko kwao unakosema wanatafuta pesa kupelekea familia zao?
JF ubaguzi kwa kwenda mbele - mara UDINI... sasa UKABILA.... WHAT NEXT?
 
Hii kali zaidi!
Hivi wachagga unawajua vizuri weye? Ushafika huko kwao unakosema wanatafuta pesa kupelekea familia zao?
JF ubaguzi kwa kwenda mbele - mara UDINI... sasa UKABILA.... WHAT NEXT?

umesoma statistic zangu hapo juu?
 
za kusema kweli wachaga kitandani ni kama gogo, hwajui lolote, wezi tu
 
umesoma statistic zangu hapo juu?
Nimezisoma sana ... na ingekuwa thread yenye allegations nzito zenye maana katika jamii..hata mimi ningekuongezea zaidi kwenye hiyo list Mkuu.
Hiyo ni 2000...tukirudi nyuma kuanzia Uhuru.in the 60s hadi sasa .mbona pangekuwa hapatoshi maana hata wale waliokuwa wameoa huko kwao...waliwatelekeza wake zao na kujitafutia mamaaz kutoka hukohuko .....wapo pia walioamua kuwa na angalau an associate for the purposes of public appearance mradi ni kichekesho kitupu!..sasa hawa wanaoleta hizi porojoporojo za walivyotendwa..basi wakubali tu ni hali halisi ya maisha lakini siyo hulka za hawa wadada/wamama wa kabila fulani.
 
Nimezisoma sana ... na ingekuwa thread yenye allegations nzito zenye maana katika jamii..hata mimi ningekuongezea zaidi kwenye hiyo list Mkuu.
Hiyo ni 2000...tukirudi nyuma kuanzia Uhuru.in the 60s hadi sasa .mbona pangekuwa hapatoshi maana hata wale waliokuwa wameoa huko kwao...waliwatelekeza wake zao na kujitafutia mamaaz kutoka hukohuko .....wapo pia walioamua kuwa na angalau an associate for the purposes of public appearance mradi ni kichekesho kitupu!..sasa hawa wanaoleta hizi porojoporojo za walivyotendwa..basi wakubali tu ni hali halisi ya maisha lakini siyo hulka za hawa wadada/wamama wa kabila fulani.

wanawake wa kichaga.wizi mtupu period.vera we mchaga nini?
 
wanawake wa kichaga.wizi mtupu period.vera we mchaga nini?

Mi Mtanzania period! Sifagii ukabila,pamoja kutokuwa wa kabila hilo..napinga ubaguzi wa kila aina - udini, ukabila, na vitu vingine vinavyoashiria ubaguzi... we should transcend vitu kama hivi visivyo na maana yeyote kwa jamii zetu.Tutake tusitake hawa watu tutaendelea kuwa nao no matter how loud we speak against them.
 
Hiyo ni generalization sana...siyo kweli ...my wife ni mchaga, my mother ni mchagga sijaona tatizo for years acheni blablah...tabia mbaya ni mtu wala si kabila...umbea mtupu

Sasa wewe ulishasema mama yako ni mchaga, mke wako ni mchaga nadhani wanajamii wasingetemea uchangie chochote, ni sawa na kuoa mwanamke akupe limbwata tu, kwani kuna siku utaona kuwa kuna tatizo?.Au ni sawa na uoe mwanamke wa kitanga, watu watakwambia lakini hutasikia na hutaona make tayari umewekwa kitambaa usoni tena cheusi. aha! aha! aha! aha!
 
Mi Mtanzania period! Sifagii ukabila,pamoja kutokuwa wa kabila hilo..napinga ubaguzi wa kila aina - udini, ukabila, na vitu vingine vinavyoashiria ubaguzi... we should transcend vitu kama hivi visivyo na maana yeyote kwa jamii zetu.Tutake tusitake hawa watu tutaendelea kuwa nao no matter how loud we speak against them.

Umevaa viatu vyangu darling. Linapokuja swala la mapenzi, kabila, dini, rangi na vinginevyo kama hivyo vinakaa pembeni. Luv you VC.
 
Huwa wanasema...ukiona mtu anakusema sana anatamani angekuwa wewe! Kuna viji-element vya wivu
 
Mi Mtanzania period! Sifagii ukabila,pamoja kutokuwa wa kabila hilo..napinga ubaguzi wa kila aina - udini, ukabila, na vitu vingine vinavyoashiria ubaguzi... we should transcend vitu kama hivi visivyo na maana yeyote kwa jamii zetu.Tutake tusitake hawa watu tutaendelea kuwa nao no matter how loud we speak against them.

.....Why you should speak againt them.
Are they too different from other women of this era? Or you are just trying to express your weakness on this issue
 
.....Why you should speak againt them.
Are they too different from other women of this era? Or you are just trying to express your weakness on this issue

Do u have any idea what my point is?
Looks like u r just coming out of a deep slumber...nawa uso kabla ya kuvamia mijadala!
Wapi umeona nikiongea against them ndugu?
FYI I have been trying to iron out biases against them buddy.
 
Watu wanapanda basi la ukabila,mtaishia pabaya.Wanawake wa kichaga wa siku hizi hawana mambo hayo,ni uzushi mtupu labda zamani waliokuwa hawajaelimika.Siku hizi tumejichanganya sana na watu wamebadilisha desturi za makabila yao hivyo ni tabia ya mtu mwenyewe.Acheni hisia mbovu.
 
Watu wanapanda basi la ukabila,mtaishia pabaya.Wanawake wa kichaga wa siku hizi hawana mambo hayo,ni uzushi mtupu labda zamani waliokuwa hawajaelimika.Siku hizi tumejichanganya sana na watu wamebadilisha desturi za makabila yao hivyo ni tabia ya mtu mwenyewe.Acheni hisia mbovu.

ZD, are you a chaggian girl? Just for my personal interests.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom