I am sorry mabinti wa kichagga

I am sorry mabinti wa kichagga

Status
Not open for further replies.
hapo hom-boi umenigusa kwelikweli,maanake shemeji yako ni mchaga wa rombo

Katekista vipi dada yetu huyo, anakupa ile kitu roho inataka au ndio blabla kama wanazosema watu humu jamvini?
 
Katekista vipi dada yetu huyo, anakupa ile kitu roho inataka au ndio blabla kama wanazosema watu humu jamvini?

yupo vizuri mazee,mkuu fidel anamjua,na mkuu georgie porgie anamfaham sana (KWA MUONEKANO LAKINI)

talking of bed bussiness!.........SHE IS THE BEST FOR ME.sijui wewe na mpare wako!.hehehehe
 
yupo vizuri mazee,mkuu fidel anamjua,na mkuu georgie porgie anamfaham sana (KWA MUONEKANO LAKINI)

talking of bed bussiness!.........SHE IS THE BEST FOR ME.sijui wewe na mpare wako!.hehehehe

Geoff, hapo kwenye kumjua na kumfahamu umemaanisha kama kiswahili sanifu kilivyo???
 
Geoff, hapo kwenye kumjua na kumfahamu umemaanisha kama kiswahili sanifu kilivyo???

wow wow wow wow wow!TAFADHAALI MKUU.hapa tunamzungumzia mke wangu.i would need some respect
 
Kwa hiyo unashauri jamaa azichange ili akatumie na mademu wa kichaga? Huu si ndio ubalahau u-pimbi na uzuzu wenyewe mdau anaoukataa..au hujaelewa proposal ya mleta thread.

Namshauri aachane nao maana hana ubavu . Atafute wenye kuendana nae kama anavyotaka. Kwani lazima demu wake awe Mchaga? kuchanga ndio wewe ndio umenena, lakini atakuwa Pimbi kweli kweli kama ataomba mchango kumridhisha kama huyo.
 
yupo vizuri mazee,mkuu fidel anamjua,na mkuu georgie porgie anamfaham sana (KWA MUONEKANO LAKINI)

talking of bed bussiness!.........SHE IS THE BEST FOR ME.sijui wewe na mpare wako!.hehehehe

Kama makamanda (kwenye bold) wanamjua basi atakuwa kwenye mikono salama. Mbuzi hali nyama yake bana. Hiyo blue nimeipenda sana, lazima kamanda asifie jeshi lake, hasa kama linashinda vita siku zote.

Hiyo red, lol! hahahaha! Katekista umeua! Wale watu nasikia hawajui kusema no! Sasa makamanda si unajua hatupendi kuunganisha majeshi... itakuwa soo.
 
MACHAME - WANAWAKE NI MAKATILI WANAUME NI WAPOLE
KIBOSHO - WANAWAKE NI WATARATIBU WANAUME NI MAKATILI
MARANGU - WANAWAKE WAZURI NA WASOMI WANAUME NI WAPOLE KUPITILIZA SHULE IMEPANDA
WAROMBO - WANAWAKE NI WAFANYAKAZI NA WANALIMA SANA WANAUME WAFANYABIASHARA NA WACHOMA NYAMA MAARUFU
WAOLDMOSHI - WAKULIMA WOTE NA WANASIFIKA KWA USHIRIKINA

Sasa sijui huyo mwanamke ametokea sehemu ipi
 
Pate experience kwa Warioba, Mkapa, Salmin Amour, na viongozi wote waandamizi ambao walioa wachagga na wakadumu na ndoa safi na utajiri pia!!!!! Pia pata experience kwa wale watu wa karibu ambao wameoa wachagga. Pengine una inferiority complex problem na unashindwa ku-match nao!!! Which tribe are you?? Sooorry mzee wetu JK Nyerere ni jana tu tumekumbuka miaka kumi ya kifo chako na leo tunakutana na tatizo la ukabila hapa!!!!!

Nionavyo, kaoe kwenu. Wachaga watakupa gwaride ambalo hutaliweza, they are fighters!!!! Nitamwomba Mungu watoto wangu wa kiume waoe wachagga, hasa wa Marangu, Kilema, Mamba, Kirua Vunjo na Mwika. Rombo, Old Moshi, Kibosho na Machame reserved!!!

Na wa kike vivyo vivyo!!
 
Pate experience kwa Warioba, Mkapa, Salmin Amour, na viongozi wote waandamizi ambao walioa wachagga na wakadumu na ndoa safi na utajiri pia!!!!! Pia pata experience kwa wale watu wa karibu ambao wameoa wachagga. Pengine una inferiority complex problem na unashindwa ku-match nao!!! Which tribe are you?? Sooorry mzee wetu JK Nyerere ni jana tu tumekumbuka miaka kumi ya kifo chako na leo tunakutana na tatizo la ukabila hapa!!!!!

Nionavyo, kaoe kwenu. Wachaga watakupa gwaride ambalo hutaliweza, they are fighters!!!! Nitamwomba Mungu watoto wangu wa kiume waoe wachagga, hasa wa Marangu, Kilema, Mamba, Kirua Vunjo na Mwika. Rombo, Old Moshi, Kibosho na Machame reserved!!!

Na wa kike vivyo vivyo!!

Una wareserve kwa sababu utakuwa na watoto sita wa kiume (hesabu kwenye bold) au ndio dhambi ileile ya ubaguzi? Wenzako wamewabagua wachaga, na wewe umebagua baadhi ya wachaga? Ukila nyama ya mtu huwezi kuacha, RIP Julius.
 
Pate experience kwa Warioba, Mkapa, Salmin Amour, na viongozi wote waandamizi ambao walioa wachagga na wakadumu na ndoa safi na utajiri pia!!!!! Pia pata experience kwa wale watu wa karibu ambao wameoa wachagga. Pengine una inferiority complex problem na unashindwa ku-match nao!!! Which tribe are you?? Sooorry mzee wetu JK Nyerere ni jana tu tumekumbuka miaka kumi ya kifo chako na leo tunakutana na tatizo la ukabila hapa!!!!!

Nionavyo, kaoe kwenu. Wachaga watakupa gwaride ambalo hutaliweza, they are fighters!!!! Nitamwomba Mungu watoto wangu wa kiume waoe wachagga, hasa wa Marangu, Kilema, Mamba, Kirua Vunjo na Mwika. Rombo, Old Moshi, Kibosho na Machame reserved!!!

Na wa kike vivyo vivyo!!
Ubaguzi ndani ya ubaguzi! Nguli unasemaje mkuu?
 
DUuu!!! Sikujua kama hapa JF kuna wachaga wengi kiasi hicho, Mbona wamekuja juu sana??????
Mkuu kama una Experience zako fulani huwezi ku generalize kwa kabila lote unless unasumbuliwa na ukabila.
 
Kweli ule msemo wa samaki mmoja akioza wameoza wote pia hauna tija wakati wote. Wasionewe wachaga kwa sababu wamesambaa na wale wenye kusambaa wana tabia za kusambaa. Utafiti wenye maana usingeufanyia DSM au Morogoro. Ungekwenda kijijini uchagani ukakae huko kimya unatafiti mambo yao. Hakuna kabila lenye mila chafu. Yawezekana wakakutana wawili watatu wanaofanana, wakaanzisha kijiji hata mambo yao pale wanapoishi yakaonekana ni sawasawa. Nenda kabila lolote, utakutana na vioja hivyo, havimaanishi ni mfumo wa kabila. Wapo wachaga wezi, lakini wamakonde pia wapo na wagogo na wanyakyusa utawakuta. Malaya kadhalika, wacha Mungu vivyo.

Ni mgawanyiko tu katika jamii. Kimsingi unapotaka kuoa unapaswa kuchunguza vizuri na uwe na vigezo unavyotaka vitimie. Wanawake wengi wanafanya wanavyofana kwa sababu ya kuhamasishwa na wanaume. Ukiiwamba ngoma sana hupasuka. Wanaume wanavyowamwagia sifa hata zile ambazo hazipo ili tu wapate wanachotaka chapchap ndio wanaoharibu tabia za mabinti, sio za wachaga tu bali za watu wote.

Uchagani kuna maisha ya kifamilia, kama familia haijafunza binti yao basi matokeo yake huwa hayo. Unaweza kukutana na mabinti wa kichaga ambao wamefunzwa na kufunzika, hawana tabia ulizotaja, hata ukienda Machame kwenyewe. Tunapowaambia wachaga wanapenda pesa, unataraji wakatae? Kila mtu anapenda sifa hiyo, ni suala la opportunity tu. Kama ungesema wachaga wanathamini sana ardhi ningekukubalia, maana hata wao wanasema hivyo. Lakini nalo ni circumstancial, wachaga ni wengi sana kwenye ardhi ndogo sana na inawabidi kuwa makini na kaardhi wtakakokapata. Wengine hujisahau, hata akipewa hekari nyingi kiasi gani atajenga mpakani na maji ya mvua yamwagikie kwa jirani, kwa kuwa mafunzo ya kutumia kila sentimita ya archi wnayofundishwa uchagani huwakolea kila waendako inakuwa kama msahafu.

Leka
 
😕DAM Shit!>.........Hii JF isitumike kuwasilisha hisia binafsi za watu,......masuala ya tabia hayapimwi kwa ulinganifu ni mchakato mrefu ambao una njia mbili, ukiona mkeo au kama hivi (demu)wako anakwenda kinyume hebu jichunguze pia na wewe unatabia gani.....na ulikuwa unataka nini kwa huyo unayemwona leo ana tabia mbaya....,
Dam shit indeed! nafikiri ww ndiye unai- mislead JF, Hapa bwana watu wana weka experiences zao wazi, including HISIA, yaani ukiangalia kinachoandikwa asilimia kubwa ni hisia na mtu anavyoamini kutokana na habari fulani.We dare to talk openly base on our believe and experience. Na kwenye sehemu kama hizi mawazo ya watu binafsi yanakuwa hayajafanyiwa scientific research kupata ulinganifu wa kitu fulani, then it either u take it or leave it.
 
Mabinti wa kichaga bomu na hatari..wao wanachojali ni kujinufaisha wenyewe wako selfish sana. Wanakuwa na waume zao kwa sababu za manufaa yao kama kuwapeleka ng'ambo,wakunyang'anye nyumba na mali apeleke kwao etc.na ukiona wanaume wengi waliooa wanawake wa kichaga ni watumwa wa ndoa au mapenzi yao. Wengi walidanganyika na rangi za hawa wamama lakini kwa ujumla hawana malezi wala mafunzo ni bomu..Tumeona na tunaishi nao.....yes i said so!!
mmmh!
 
kwa ujumla watu wengi wanawatazama mabinti wa kichaga kwa mtazamo huo, na lisemwalo lipo jamani, though mie sijawahi kufanya utafiti huo lakini huko nilikoolewa, kuna mke mwenzangu ambye ni mchagga ana tabia zooote zinazoitwa mbaya, mkali, hana huruma, mmbeya, anaweka sana vinyongo na kila anaempitia usoni, mchoyo sana, hataki kabisa wageni kwake, ana-comand za kijeshijeshi, mkatili kwa ma-housegirl maana akikaa nae miezi 2 basi huyo binti ana matatizo makubwa kwao, n.k. n.k. nilijua ni yeye tu na tabia yake, sasa sijui ndio mkumbo wa kabila au vp? lakini pia ku generalize tabia si vema sana tuongelee mtu moja moja na tabia zake
 
kwa ujumla watu wengi wanawatazama mabinti wa kichaga kwa mtazamo huo, na lisemwalo lipo jamani, though mie sijawahi kufanya utafiti huo lakini huko nilikoolewa, kuna mke mwenzangu ambye ni mchagga ana tabia zooote zinazoitwa mbaya, mkali, hana huruma, mmbeya, anaweka sana vinyongo na kila anaempitia usoni, mchoyo sana, hataki kabisa wageni kwake, ana-comand za kijeshijeshi, mkatili kwa ma-housegirl maana akikaa nae miezi 2 basi huyo binti ana matatizo makubwa kwao, n.k. n.k. nilijua ni yeye tu na tabia yake, sasa sijui ndio mkumbo wa kabila au vp? lakini pia ku generalize tabia si vema sana tuongelee mtu moja moja na tabia zake

Lol! Ni jana tu uliniambia hujaolewa! Lol! Kweli hii ni JF, sitashangaa kesho ukawa dume hahahahah!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom